Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kubadilishana vituo
0 Reactions
2 Replies
536 Views
Kama vile kichwa kinaashiria, ningependa kuelewa mfumo wa elimu wa Tanzania, haswa kuanzia shule za chekechea hadi darasa la tatu. Ningependa kuandika kitabu kitakachowasaidia watoto kusoma, na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Naomba mnisaidie hapa mimi niliitimu kidato cha sita 2017 nilisoma combination ya HKL na nina 3.14 division nina D,E,E,E sasa coz gani naweza chukua University? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni ngumu sana kuamini lakini huu ndio ukweli Mkuu wetu wa shule leo hauko nasi. Anyway huyu alikuwa Mkuu wa shule Nyamongo Secondary 1997_2007 Nyakahanga Secondary 2007_2017 Chabalisa Secondary...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama alumni wenu ninapenda kujua kinachoendelea huko lakini nafikiri ni zaidi ya miezi 6 siioni hata website yenu hewani. Tulizoea kuwaona through mu.ac.tz au hata ku-google direct name lakini...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za muda huu mabibi na mabwana Kuna hii creteria ya kufadhiliwa masomo nje ya huu mtihani wa kizungu uitwao ielts ambayo nchi nyingi wanataka uwe umefanya na kufaulu. Nimejaribu kuangalia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimatumaini yangu mko poa wana jf Nataka kusoma NIT short course ila naskia mwanza kuna wakala wa NIT naombeni msaada
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Ningependa kujua kozi ya Rail Transport management kwa ngazi ya cheti pale NIT inaitaj vigezo gan ,nje ya pass 4 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kituo chetu kimekuwa ni kimbilio la waliowengi kupata Elimu ya sekondari walioikosa kwa sababu mbalimbali. Ni miaka mitano sasa tunatoa huduma hii muhimu katika ujenzi wa Taifa letu. Usione...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Nimesikia kuna habari kuwa Ex-Bunge Pupils wanapenda kufanya Reunion ambayo itafuatiwa na tukio la ku-support shule kwa namna fulani. Ningependa kujua zaidi kuhusu hilo suala maana nimesikia...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
wakuu ,twendeni na ukweli hakuna vipindi vya darasani vinakera na kuchosha hasa vya kuanzia sa nane pale baada ya kula chakula cha mchana,LECTURES ukijaribu fanya ka utafiti kadogo % kubwa ya...
0 Reactions
5 Replies
973 Views
Bodi ya mikopo elimu ya juu imetoa access nyingine kwa ajili ya kulipia Madeni kwa wanufaika wa mkopo.Je,kwa njia hii unaeza lipia mwenyewe yamkini kwa Mpesa na kwenye mshahara wasikate au hii...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
nimefurahishwa na matokeo ya hizi shule za vipaj lakin kwa nin zero na4 zinakuwepo? kwa sababhawa ni wa2 wenye vipaj ?
0 Reactions
43 Replies
10K Views
Km kuna mtu anaweza kunisaidia schemes of work za masomo ya arts advance
0 Reactions
3 Replies
900 Views
hivi VETA mna matatizo gani??? Inawachukua mwaka mzima mpaka kutoa vyeti kwa wahitimu wenu. Hamuoni kama tunarudishana nyuma? Mtu anamaliza level 3 mwaka 2017 anasubili cheti mpaka 2019 kweli? Au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa darasa nne na kidato cha pili iliyofanyika Novemba 22 na 23 mwaka jana, huku idadi kubwa ya wanafunzi wakifanya...
3 Reactions
153 Replies
88K Views
Wasalaam, Bila ya kupoteza muda kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.Nimekuwa napata shida kuyapata Matokea ya Kidato cha Sita kwa mwaka 2008,nimejaribu kugoogle kwa kila hali...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
😂😂😂😂 Kali hii
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Naomba kuuliza ,hivi bs of architecture INA soko katika ajira?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuuliza yeyote anaejua kuhusiana na chuo cha Zanzibar school of health atujuze juu ya ada na mazingira yenyewe ya chuo.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom