Mjini mipango,ukiwa uko vizuri kuna walio vizuri zaidi yako.
Pamoja na uwezo mkubwa kimpira ilio nao Juventus kule Italy,ilithibitika kuwa ubingwa wa 2007(6?) Ni ilikuwa inahonga marefa...
Takwimu za matokeo ya mtihani wa kidato cha nne 2018 zilizotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), juzi, zimeonyesha kuwa Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa kufaulisha wanafunzi wengi...
Wakuu habarini
Nilikuwa nacheki matokeo ya dogo ila karibia nusu ya darasa akiwemo dogo wamekewa alama *E na hakuna matokeo, sasa nataka kujua inamaanisha nini? Ada tulimaliza mapema ktik shule...
Aliyefanikiwa kupata matokeo ya Form four machame girls secondary kwa mwaka 2018 ayaweke hapa tuyaone maana kwenye platform ya necta hayaonekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wana jukwaa,husika kichwa vha habari hapo juu.kuna jamaa yangu anahitaji kujiendeleza kielimu katika shughuli zake za kila siku,jamaa anajishughulisha na kilimo na ugugaji Ila angependa...
Habariii memberz kuna mdogo wangu kamaliza shule 2014 anataka kwenda kusoma dit diploma anaweza kupokelewa? Ana C physcs C math C geog D chemistry na E english language???
Wadau wa elimu naomba msaada wa Pre form five kwa dar kijana wangu amepata div 1 combi za science zimekubali vizuri naomba msaada kwa anaejua wapi inapatikana tuition wakati anasubilia kupangiwa...
Walimu Handeni hawafundishi kabiiiisa, muda wao mwingi unamalizikia kwenye biashara ya bodaboda, tigo-pesa na kuonyesha TV/Video. Hii inasababisha taaluma Handeni kushuka sana.
Wakaguzi nendeni...
Wadau naomba mwenye taarifa ya kuwa kuna walimu wengine kutoka secondary watakapelekwa msingi kwa mwaka huu 2019? na je huo waraka upo? tujuzane jmn nianze kujipendekeza kwa headmaster
Sent using...
Habari wapendwa....naomba kufahamishwa kozi tajwa hapo juu katika vipengele vifuatavyo:
1:Usajili huwa ni muda gani?
2:Usajili huo huwa upoje?(online/kujaza fomu)
3:Muhula wa masomo huanza...
Utaambiwa mara server ina tatizo, mara network haisomi. Mtu unajaribu ku beat deadline ya ku apply kazi ila mi bureaucracy kibao. Hili tatizo lipo miaka nenda miaka rudi.
Hivi unafeli vipi mtihani wa kidato cha nne na mitihani mingine?
Utakuta mwanafunzi wa kitanzania anapewa kila kitu na mzazi/wazazi au mlezi/walezi au taasisi anapokuwa shuleni ila cha kushangaza...
Orodha hiyo wapo wanafunzi wetu waliosoma Excellent Training Center na kufanya mtihani wa QT 2018 miongoni mwao walipata taarifa zetu kupitia hapa Jamii Forum. Nakupongeza sana
Rita Focus Masawe...
Habari zenu ndg zngu. Jaman naomben kwa anayejua vizuri kuhusu muda ambao Mtu aliyefany stage 4 na kufaulu masomo yote pengine hakuwez kuunga stage 5 ya mwsho kwa wakati huo huo je dead line ni...
Mke wangu amefanya mtihan wa kidato cha nne,matokeo yake ni division four ya 29
Je anaweza kusoma ualimu kwa vyuo vya private ?
Je ada ni bei gani,
Nipo dar, ningependa vilivyo karibu na dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.