wadau ninaomba kufahamu ni kiwango gani cha ufaulu wa mtihani wa kidato cha nne unaokuwezesha kupata cheti cha baraza la mitihani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo ya Kidato cha Nne (CSEE) na maarifa (QT) 2O17 Yametangazwa na Baraza la Mtihani la Taifa NECTA.
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo Kidato...
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde amesema watahiniwa 381 wa Shule za sekondari za St Mathew na St Marks wamesitishiwa matokeo yao kupisha uchunguzi kutokana na tuhuma za kufanya...
Ndugu na jamaa zangu polen na kazi naomba,samahan juuzi nikitumiwa sms na kampuni ya voda kuwa nimepewa ofa ya kutumia vufurushi vya chuo nikiwa sehem yoyote japokuwa sijajisajili na hiyo huduma...
*KENYA REVOLUTIONALISES ITS EDUCATION SYSTEM*
THE NEW CURRICULUM 2-6-3-3-3 Education system
The new 2-6-3-3-3 Education System was proposed by a task force headed by Former Moi University Vice...
Wakuu habari za muda,
Kuna project inatakiwa kufanyika ambayo inaweza kutufanya tukaishi mjini na kuajiri vijana. Kwa Walimu ambao hawana kazi na ambao wamesomea masomo yafuatayo:
Physics
Biology...
Wadau kuna mtu anaomba msaada
Anasema anakatwa na bodi ya mikopo elimu ya juu HESLB ili kulipia mkopo ilihali yeye hujawahi soma hiyo elimu ya juu ameishia diploma..
Yeye ni mtumishi wa Serekali...
Ndugu zangu, poleni na majukumu ya kila siku..!
Nimekuja kwenu kuwaomba kama kuna mtu yeyote ambae anafaham kwa sasa kua kuna shule inayohitaji mwalim wa masomo tajwa hapo juu tafadhari naomba...
Waziri wa elimu pamoja na bosi wake bwana PM walichofanya sikubaliani nao.
Kitendo cha kuchukuwa mwalimu wa sekondari kumpeleka primary siyo kizuri kwanza hawa watu wamesoma mtaala tofauti...
Maisha yanaenda kwa kasi sana, tumetoka mbali na moja ya historia ambazo tutabaki kua nazo, basi n historia ya maisha ya shule haijalish mazngra au umeshia level gani.
Basi naamin Kama unaweza...
Swali ni kutaka kujua kuwa uandishi wa essay mzuri ni upi kwani essay huwa na introduction,mainbody na conclusion sasa swali langu nihivi baada ya introduction unaanza kuandika points za swali...
Wakuu salaam ,, nimemaliza kidato cha sita 2012 nikipata divisio 3 point 16 E ,D,na F Nimemaliza diploma ya elimu 2014 , (chemistry &Biology) GPA ya 3.0. Ningependa kujiunga na masomo ya degree...
Hii habari ni ya kusikitishaaa nilikuwa maeneo ya mnazi mmoja kuna ndugu yangu alimaliza chuo mwaka diploma ya electrical engineering ila GPA ana 2.9 ila kilichonisikitisha ni kwamba hawezi tena...
Poleni kwa majukumu watanzania wenzangu,
Naandika uzi huu kama mtanzania niliyeguswa na hali mbovu ya kiusalama katika shule hiyo hapo juu ambayo iko Tanga mjini karibu na soko la samaki la deep...
Habari wanajukwaa.
Nataka nijifunze namna ya kufanya data analysis, kwa data za research. Ni fursa niliwahi kukutana nayo, kwamba wanachuo wengi muda wa research wanakuwa bize sana, na data...
Sidhani kama wana wakufunzi wa kutoa elimu inayotegemewa. Kuna chuo wanafunzi wanaingia mwaka wa pili wanajifunza siasa za udaktari/utabibu; akuna Pharmacology, wala internal medicine, pathology...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.