Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
kama upo dar au Zanzibar na unaitaji kujifunza kuogelea private ni raisi ndani ya mda mchache utakua mpiga mbizi hodari, kila MTU anajua umhimu wa kuogelea book now 0763906638 bei chee Sent using...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Yaani account yangu siwezi kucoment na kuna sehemu siruhusiw kuandika chochote naambiwa account yangu iko pending lini nitaruhusiwa Sasa account isiwe pending nachokaa et Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
0 Replies
280 Views
Kuna jambo nimelishangaa kiasi hasa hili la matokeo ya kidato cha pili( FTNA) kutangazwa kwa watahiniwa walioko shuleni tu na kuyaacha matokeo ya watahiniwa binafsi wa kidato cha pili(QT)...
0 Reactions
6 Replies
14K Views
Wakuu poleni na majukumu Katika taarifa ya baraza la mitihani NECTA, mkoa wa kwanza kitaifa ni Kilimanjaro ambapo umepanda katika matokeo ya 2016/17 ilikuwa ya 5 kitaifa Mkoa wa Kagera...
9 Reactions
205 Replies
44K Views
hili tangazo ni official kweli? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
624 Views
Natumai mu wazima wa afya. Naomba kujulishwa site ambazo ninaeza either ku apply direct for scholarship au kupata information kuhusiana na scholarships, nje ya nchi. Natanguliza shukrani zangu za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Question tags are very common in spoken language or colloquial languages( informal language) and are added to the end of statements in order to form questions. They are used to express a weak form...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwa nini jua ni chanzo kikuu cha Nishati Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
354 Views
Habarini ndugu zangu na mdogo angu nataja akasomee veta mambo ya electronics jee ni vigezo gani haswaa wanaangalia Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
911 Views
kumekuapo na tetesi kati ya wanavyuo mbalimbali wakidai bodi ya mikopo imeongezea pesa kwa wanufaika wa awali pesa za field shilingi elfu 60 kwa kila mnufaika wa awali.. huku wengine wakidai ni...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za majukumu wakuu nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka huu ana division point 28,kwa masomo ya arts je??naweza kumpeleka veta asome kozi gani ambayo anaweza pata ajira serikalini...
1 Reactions
24 Replies
49K Views
Wakuu naomba msaada wa mawazo yenu. Nataka kuachana na kazi ya ualimu wa serikali. Hivi sasa nafundisha sekondari ya serikali kwa mwaka mmoja sasa. Awali nilikuwa nafanya kazi katk sekondari ya...
1 Reactions
52 Replies
11K Views
Mwl wa kufundisha Awali English medium anahitajika haraka,Mwl wa kike hasa wa kanda ya ziwa atapata kipaumbele, Tuwaailiane 0755098159 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
747 Views
Hey guyss: Za mida jamani Samahan naomba msaada orodha ya vyuo vya afya vya private kwa mkoa wa DODOMA na DAR ambavyo nitaweza kusoma course zifuatazo; 1. ORDINARY DIPLOMA IN PHARMACETICAL...
0 Reactions
20 Replies
16K Views
Habarini za muda huu wadau...ni matumaini yangu kuwa mpo poa... Nimekwama kidogo nahitaji msaada wenu wadau...mimi ni mwl ajira mpya nilipangiwa kituo mwaka jana mwezi wa 11....nikaripoti tar...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa taarifa tu ni kwamba waseminari zaidi ya ishirini wamefanya mtihani wa kuongea (oral examination) leo katika seminari kuu ya mt Paulo, Kipalapala. Wamehitimisha mtihani wa baccalaureate...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ndugu naomba Mwenye kujua hvi mtu Mwenye diploma ya marketing upper second anaweza kusoma degree ya social work?
0 Reactions
0 Replies
502 Views
Habari wana JF , naomba mwenye notes za Biology A level( topics zote) ani pm au mwenye kujua wapi zapatikana anijuze plz ....its urgent
0 Reactions
19 Replies
12K Views
Habari.mimi ni kijana wa kawaida nimemaliza form 4 miaka zaidi ya 7 huko nyuma,nimetanua weeee mtaani,ila sasa nimeona nijiendeleze kielimu lakini watu walionizunguka naona hawafiti kunishauri...
3 Reactions
108 Replies
13K Views
Wadau, naona swala la rufaa za mikopo liko kimya, kwa mwenye update tafadhari. Ahsanteni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom