Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
kwa wale mliochagua chuo cha maji degree au diploma unakaribishwa kuuliza swali lolote kuhusu hiki chuo kipo ubungo karibu na coet udsm
0 Reactions
48 Replies
14K Views
Wadau habarini, naomba msaada kwa yeyote mwenye utaalamu wa ku download vitabu vile vya kulipia na kuvidownload freekuna kitabu (novel) base on true story kinaitwa impossible odds the kidnapping...
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Habarini za muda huu wana jf, Kama una ndoto ya kusoma IcT na ungependa kupata ushauri mbalimbali kulingana na COURSE izo za ICT Nakukaribisha ewe mzazi au kijana Karibu kwenye group la...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kuuliza swali wakuu.Mtu mwenye diploma ya ualimu wa shule ya msingi Ana sifa ya kusoma degree ya ualimu kwa kutumia matokeo yake ya diploma. Ahsante Sent from my TECNO F1 using Tapatalk
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wana jamii naomba msaada mwenye kujuwa vigezo vya kujiunga na certificate of computer sience pale Coict(ya wanachukua wastani gani wa 4m4) Natanguliza shuklani Masiya fungi@kat.ph
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kana wanafunzi wana F ya hesabu lakini wana divition II Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018 kwa mara nyingine yameshuhudia shule binafsi zikitamba kwa ufaulu. Katika matokeo hayo yaliyotangazwa wiki iliyopita na Baraza la Mitihani Tanzania...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
St. Francis Mbeya kwawaka moto na Christopher Nyenyembe, Mbeya UONGOZI wa shule ya sekondari ya wasichana ya St Francis...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
ARUSHA INSTITUTE OF TRAVEL AND TOUR MANAGEMENT. Nimeambiwa kipo Arusha kwa anayekifahamu anisaidie kama kweli kipo na utoaji wake wa mafunzo upo vizurii au laa. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar wana jf. Lengo la uzi huu ni kupeana taarifa kuhusu utolewaji wa vyeti vya udsm batch 2 ambayo itakuwa ni kwaajili ya wale tuliopata supp third year na wale ambao hatukuwa tukitumia majina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kuliza sifa za kujiunga na chuo cha Hombolo Dodoma kwa kozi development of planning and adminstration.
0 Reactions
16 Replies
68K Views
FAHAMU MITO INAYOBEBA KIASI KIKUBWA CHA PLASTIKI KUPELEKA BAHARINI 1. Chang Jiang (Yangtze River) 1,469,481 tons 2. Indus 164,332 tons 3. Huang He (Yellow River) 124,249 tons 4. Hai He 91,858...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Wadau Habari yenu! Kuna kijana anatafutiwa pahala pa kuresit ili atafute Credit ya somo moja Tu. Ningependa kuuliza kwa wale wenyeni wa Mkoani Iringa. Je kuna Kituo gani au Shule zipi zinatoa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nasubiri kuona wapinzani wasiopinga kila jambo hata jema .....wakitoa hongera za kweli kwa matokeo ya kidato cha 4 mwaka 2018.Ninaposoma Gazeti la Mwananchi,Tarehe 25/01/2019 ukurasa wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Dini ni kitu kizuri cha kuwarithisha watoto ila sijapata jibu kwa nini serikali haijaweka somo hili lifundishwe tangu ngazi za chini kabisa ili mtoto awe mwenye maadili ya kiuungu. Ukizingatia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau mimi nina material ya chemistry na biology natafuta mwenye material ya Physics A level hasa ya MGOTE na O level pia ya mwandishi yeyote tu badilishane kwa chemistry na biology hata kama...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Bodi ya vyuo vikuu nchini Tanzania kupitia tangazo lake imepunguza vigezo vya kujiunga na vyuo vikuu kwa mwaka wa masomo 2016/2017. Hapo mwanzo waombaji wa diploma kuingia chuo kikuu ni lazima...
3 Reactions
199 Replies
61K Views
Vigezo za kuchaguliwa chuo cha ufundi ni vipi??
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilikuwa napenda kujua kama Kuna uwezano wa mtu kuhama chuo cha private kwenda chuo cha serikali kwa ngazi ya cheti kada ya afya.naomba usaidizi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Siku moja nimeenda kibanda cha chips MIMI:Mtaalam nifanyie chips kavu MPISHI:Subiri kidogo ziko jikoni MIMI:si unipe hizo za kwenye kabati hapo? Nataka kuwahi. MPISHI:Hio zimepoa,subiri hizi...
0 Reactions
6 Replies
48K Views
Back
Top Bottom