Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nimepata taarifa kuwa wanachuo mwaka wa pili Mvumi Mission wanaondoka kesho tarehe 4 Febr 2019 kwenda mafunzo ya vitendo vijiji jirani hadi tarehe 20 Febr lakini hawajapewa pesa shilingi laki...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Please msaada wadau wa elimu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
479 Views
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
510 Views
Wakuu habari ya majukumu ya kutwa. nina rafiki yangu anaomba nimsaidie katika kujifunza lugha ya kiswahili. Tatizo sina muongozo wa kumfundishia, naomba kwa yeyote aliyenao anisaidie. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
542 Views
Jamani kwa wale tuliochaguliwa kujiunga na Muhimbili Dental Laboratory Technology plz tushauriane hapaa na tujuane mapemaa
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naombeni msaada nimesoma PCB matokeo yangu n CHEMISTRY C BIOS C PHYS E ndoto yangu kusoma MD je naweza kupata sehemu ya kureset jaman somo la phy pekee yake msaada jaman au kwa haya matokeo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mtu aliyepata kwenye matokeo yake ya kidato cha nne (Dv lll-24) Civics D history D Biology C English C Physics D Chemistry C Kiswahili C Geography D Mathematics D Anaweza kupata nafas...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kesho Alhamisi Januari 24, 2019 litatangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018. UPDATE: Shule ya St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifa >>>...
20 Reactions
389 Replies
237K Views
Habari wandugu Nilikuwa nauliza ushauri wenu juu ya kusoma degree nyingine baada ya kumaliza chuo. Mimi nna degree ya accounting kwa sasa. Nilikuwa nawaza nirudi chuo kusoma degree ya economics...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Ninaomba kufahamishwa ni chuo gani Tanzania kinatoa masters ya Curruculum development. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
464 Views
Naombeni msaada mimi nime reset form 4 mara mbili Mara ya kwnza nimepta 4 ya 26 nikipta credit ya geo na cvcs mara ya pli nikareset msmo 2 yte nikpta credit ya math and history ssa ntka nifnye...
0 Reactions
5 Replies
776 Views
Wakuu habari za muda huu. Nina kijana mtoto wa ndugu yangu yuko kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Serikali (Kata), nahitaji kumuhamisha kwenda shule za vipaji maalumu za Serikali...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Katika mkoa wa Lindi kuna maagizo ambayo yanatolewa kwakweli ni ya kutesa watumishi haswa sekta ya elimu.Hivi sheria za kazi zinasemaje kuhusu weekend?yaani Jumamos na Jumapili? Ni hiv,Viongozi wa...
0 Reactions
3 Replies
824 Views
Mheshimiwa Magufuli anasema " chuo Cha Kampala gongo la mboto Ni Cha hovyo,Kuna wanafunzi wamemaliza masters pale,saizi wameanza upya kusoma degree ya Kwanza maana walichokipata pale Ni...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wana JF? Nina mdogo wangu aliyekuwa anasoma kidato cha sita katika shule fulani ya upili ya binafsi jijini Arusha ila kwa bahati mbaya hakufanikiwa kusajiliwa kwa ajili ya...
0 Reactions
42 Replies
46K Views
Back
Top Bottom