Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Niliapply chuo juzi Jana nimeletewa message ambayo imeandikwa admited baada ya kupiga sim chuo husika wakasema nimechaguliwa nimeuliza watu ambao waliwai kuapply wananiambia majibu hutoka baada ya...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Dogo amepata D NNE katika masomo ya Civics,kiswahl ,Geography na English ukimuuliza anataka kusoma anapenda nini? anasema chochote ambacho wajuzi watamshauri yupo tayari kwa ngazi ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Tuko kwenye kipindi ambacho propaganda inatawala kila kitu kiasi kwamba kizazi chetu kinaendeshwa na watu wachache wenye uelewa flani ambao unaweza ukadhani ni mkubwa kuliko wenigne. Kizazi chetu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
IT
Habarini za saa hizi wadau hivi ukiwa na division four ya 29 unaweza soma IT ikiwa umefeli mathematics ..?
0 Reactions
5 Replies
911 Views
naomba kutolewa tongotongo kwa anaejua kuhusu hii kozi
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habarini Wadau, Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, Nimejaribu kutafuta uptodate list ya wahasibu wenye CPA wanaotambulika na NBAA kwenye website yao nimeshindwa kupata, Msaada tafadhali
1 Reactions
3 Replies
3K Views
je huyu dada mnamshaur aende chuo gani na asomee course gani? English D, Kiswahili C, Geography D, Civics D. Yaliobak F.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naombeni ushauri nilifanya mtihani 2016 nikapata c1 na D2 ....nikarisit kwaka jana nimepata D2...nilikuwa hahitaji kwenda veta je ninaweza kupata diploma ya course gani nzuri...tafadharii Sent...
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Nilikuwa nahitaji maioni na mtanzamo ni kweli kwakuwa ajira zimekuwa ngumu hivyo haina haja ya kusoma badala yake tufanye biadhara au ujasiliamali...?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
872 Views
Habari wadau wa elimu mi naitwa David. Nilibahatika kwenda kidato cha tano comb pcb mwaka jana(2018/2019) kwa ufaulu wa division 2 kidato cha 4. Kwa bahati mbya nilifukuzwa shule mwak jana mwshoni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi wakuu nataka kujua kiundani kuhusu higo course na kazi zake koujumla? Inakuwaje Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
725 Views
Nataka kujua kiundani kuhusu koz ya laboratory science and technology? Na kaz zake zinakuweje Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
627 Views
Wakuuu naombeni kujua mishahara ya wakufunzi wa veta na wakufunzi wa fdc.Tafazari Natanguliza shukrani zangu za zati.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajf Niliomba vyuo vinne kwa first round nikakosa vyote,second round nikakosa pia kwa vyuo vilivyotoa majina mapema na wakaniambia niombe tena third round nikafanya HVO, Mungu ni mwema...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Wadau nimesikia kuwa kupitia Wizara ya Elimu wanataka wazazi wenye watoto waliochaguliwa kwenda kidato cha kwanza katika shule za serikali na wakaenda Private basi wazazi wanatakiwa kuandika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtaa mmoja Kila siku yamapita magari zaidi ya kumi kushusha watoto. Yaani vile watoto wanaongea 'broken' ni balaa. Utasikia..... '' Me is going hooome...'' '' Me is need to pass '' '' me is my...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wadau wa elimu, Nina rafiki yangu yupo nje ya nchi na mara nyingi namuelekeza namna ya kuongea kiswahili, kKavutiwa na hii lugha na mara nyingi ananiuliza maswali. Sasa sina...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Nikiwa kama Mtanzania mwenzenu nimejitolea kutoa mafunzo ya Video production bure YouTube kwa Lugha ya Kiswahili (ingia YouTube tafuta Director Chuma) Kwa kile nilichonacho nimeona ni bora...
3 Reactions
5 Replies
6K Views
Nilifanya necta advanced 2016 nikafel nilipata principal moja,nikarisit 2017 nikafel;SWALI LANGU Je nirudie tena ama nianze kusoma collage? Na je nikitaka kufanya yote masomo matatu nakuwa kama...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom