Habarin za muda huu wakuu? Nombeni anayejua milango ya kupitia niweze kupata sholarship jaman nataman kupata sholarship nikafanye masters masuala ya Tourism ni vigezo gan vya msingi sana? Na vyuo...
Are you going to make changes? Do you want to be a part of the business network of emerging leaders? Join the Swedish Institute Management Program for a new perspective on sustainable success...
Sio Mara ya kwanza kwa shule hii kuwa kinara wa kufaulisha wanafunzi wake katika kiwango sawa na cha lami
Ni kawaida ya St. Francis kutuacha midomo wazi tunaposkia matokeo yao ya form four kwa...
STUDENTS ACADEMIC YEAR 2018/2019
Naomba kuwapongeza wale wanafunzi wote mliochaguliwa kujiunga na chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT.
Natumia fursa hii kuwakaribisha chuoni; pia kwa ambao...
The Centre of African Studies offers 2 PhD scholarships to African nationals as part of the Governance for Development in Africa Initiative funded by the Mo Ibrahim Foundation.
Applications are...
Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha uzi, naomba kupewa majina ya vyuo ambavyo ni vya Ulaya, Asia au America wanavyotoa admission kwa Overseas students bila ulazima wa kujaza namba ya passport...
Wana jukwaa leo nilikuwa napitia NACTE Guide Book ya Afya 2018/19 nikijielekeza kwenye Basic Technicians Certificate (Level 4) na Technicians Certificate in Pharmaceutical Sciences. Nilicho ona...
Kama ulikuwa na ndoto au unapenda kujua au kuongeza ujuzi wa Video production, basi ninadarasa YouTube unaweza kuandika Director Chuma utanipata.
Ninafundsha kiundani sana na kwa mifano. Lengo ni...
1. Certified in Risk and Information Systems Control (CRISC)
$131,298
The nonprofit group ISACA, which formerly stood for Information Systems Audit and Control Association, but now is an acronym...
True Ink Associates would like to Announce that the CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Class is scheduled to commence on Monday 16/07/2018, Dar Es Salaam City Center, The course...
True Ink Associates would like to Announce that the CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes is scheduled to commence on Monday 18/02/2019, Dar Es Salaam City Center, Golden...
Habari zenu wadau
Natumaini wote mu wazima. Kama kichwa kinavyosema hapo juu Je mtu aliye anzia certificate akifika degree anaweza kupata mkopo kweli.
Nawasilisha mada mezani wadau...
Sent...
Wakuu habari zenu, kuna jambo nimeliona kwenye vyuo vyetu vya Tanzania maana kwa hawa walimu wetu, waliotufundisha mavyuoni, nimekuja kugundua kumbe ndio chanzo kikubwa cha wanafunzi wetu...
Heshima kwenu wanajamvi...
Nimewaza na kuwazua juu ya hili tatizo /janga lililowakumba baadhi ya wahitimu wa darasa la saba .
Kwani kama tunavyojuwa kunabaadhi ya wanafunzi mpaka muda huu...
Wadau mdogo wangu anataka kujoin chuo cha journalism ngazi ya cheti. Sasa sijajua chuo kipi kizuri na muhula wake unaanza lini ada yake ni kiasi gani? Na qualification zake. Naombeni tujuzane...
Mdogo wangu kapata
Chemistry C
Biology C
English C
Geography C
Kisw C
Physics F
B/math F
Je anaweza kuomba kozi gani ya afya na akakubaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za siku nyingi wapendwa wangu wa humu JamiiForums
Rejea na kichwa cha habari hapo juu nikikuwa natafuta chuo kwa ajili ya kusoma kozi ya Information And Technology kwa hapa Dar Es Salaaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.