Naomba kuuliza kama vyeti vya wahitimu wa chuo kikuu mwecau viko tayari. Ahadi ilitolewa kuwa vitakuwa tayari mwezi wa pili mwaka huu, je kuna mhitimu wa mwecau wa mwaka 2018 ameshachukua cheti...
Aise ifunda saivi ni moto wa kuotea mbaliii , shule imekarabatiwa huwezi amini ni ya govt.
Mazingira yake duuh I'm proud to be student of Ifunda the glory
Dear fellow Pugu Boys, its been a while since we last met at breakpoint. I am calling upon all members to the pugu alumni association a general meeting to be held at breakpoint Kijitonyama on...
Ukweli Mchungu.
Hata tujenge madaraja kila mto, tujenge barabara za lami mpaka vijijini, tununue ndege kila halmashauri yake n.k hakuna maendeleo ya maana tutafikia bila kuwa na ELIMU BORA...
Naombeni msaada...nilifanya mtihani mwaka 2016 nikapata c1na D2 ..mwaka jana nikarisit nikapata D2 je ninaweza kupata nafasi ya diploma chuo cha veta ...je ni kozi gani zuri nishaurini jamani...
ndugu wanajamvi kama kichwa habar knavyojieleza, naomba msaada wenu wa kuvijua vyuo vya sheria kwa ngaz ya cheto coz kunamdogoangu almalza kdato cha nne mwaka 2012 xo anataka akajiunge mwaka huu...
Naomba kuuliza maeneo ambapo mhitimu wa ba in economics and statistics anaweza kufanya kazi...pia fursa kwny soko la ajira kwa anaefahamu
Asante!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
The Discovery of Oil and Gas in Tanzania created a demand of Local Experties In Tanzania. Yet Govt can not afford to rely on experties
Required
Based on the Discovery of Oil and Gas In Tanzania...
Wakuu nimerudi tena...msaada wa shule ya advance private nchepuo wa sayansi ambayo inaendeleza vipaji vya michezo...dogo anapenda na anaweza kucheza mpira wa miguu so nataka asome huku anaendeleza...
Habari jamani, naomba kuuliza hivi,
Hivi inawezekana mtu aliyesomea Certificate in community health kujiunga na diploma/certificate in clinical medicine? msaada wa mawazo jamani
Habari za asubuhi wandugu.naomba kupata taarifa juu ya gharama za VETA na entrance requirement maana nina kijana kamaliza form 4 nataka akapate maalifa zaidi huko chuoni
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.