Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
bodi ya mkopo yatoa majina ya wanafunzi walioappeal kwa mwaka wa masomo 2018/2019 na tayari baadhi ya vyuo washapelekewa majina ya wanafunzi kama udzm
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Kuna mdogo wangu amejiunga na BSc Petroleum Chemistry UDSM, mwaka huu, kila siku amekua akini pigia simu kuwa anataka kuacha kusoma hiyo kozi, apply kozi nyingine mwakani. Wadau nyie mnashauri...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Je mtu mwenye BSc Physics, BSc Mathematics or BSc Chemistry + PCM anaweza kusomea BSc Medicine au Pharmacy au Health Laboratory?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
naomba misaidie swala langu kama hili. lugha ya kiingereza ilisanifishwa mwaka gani na wakulikuwa na lahaja gani nyengne huko uingereza?
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Mimi ni mwanafunzi hapo UDSM mwaka wa kwanza kwa bahati mbaya matokeo yangu hayakua mazuri kwa sababu mbalimbali kwaiyo nimedsco. Nilikua naomba msaada wa mawazo wanabodi... 1. Je...
3 Reactions
82 Replies
14K Views
Habarini za muda huu wanajukwaa Kwa wanaosoma chuo kikuu cha kilimo cha sokoine kuna tatizo gani kuhusu bima ya afya? Mimi ni mfanyabiashara mdogo ila nasomesha mdogo wangu SUA ambaye pia ni...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu Ila Mfumo wa nchii hii wa kutumia kiingereza kama Lugha ya kufundishia Mashuleni Kwa Maana ya Shule Ya Msingi Na Secondary umepitwa na wakati. ...... Ni sawa na kama uko Arusha unataka...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Je, wewe ni mwanafunzi unayetamani kujifunza elimu ya biblia? Je, umekuwa na hamu ya kujifunza elimu ya biblia lkn hujui vyuo vinavyofundisha? Au je, unajua vyuo vinavyofundisha lakini unakosa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Na Thadei Mushi #Darasa la Sita somo la Uraia lina mada inayohusu vielelezo vya Taifa la Tanzania. Mojawapo ya vielelezo vinavyolitambulisha taifa la Tanzania ni wimbo wa Taifa letu ambao ni...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau. Nilikua nataka kujuzwa shule bora ya kiislamu ya secondar iwe bweni. Iwe mchanganyiko boys tupu. Itapendeza ukinitajia na ada.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Hawa bodi ya mikopo hawaeleweki aseh,hivi inakuaje upate mkopo tena first batch na allocation itumwe chuo husika, ila kwenye sheet ya kusaini eti jina lako halipo,hapo loan officer atume tena jina...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
habar zenu wana JF kwa wale wadau wa linguistic/English msaada kuhusu hili swali linataka nini
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu, habarini za mihangaiko. Mm nina maswali mengi sana kuhusu hela/pesa. Nimekuwa nikijiuliza sjapata majibu. 1. Hivi hela zinatengenezwa na na material gan? 2. Na je ni kweli pesa...
2 Reactions
12 Replies
9K Views
Inasemekana HESLB waliamua kureset passwords za accounts za wanafunzi walioomba mikopo na kukosa mikopo kwa awamu ya kwanza mpaka ya nne ili kufanya zoezi la kukata rufaa kushindikana kwa mwaka wa...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari na poleni na majukum marafiki. Najitokeza kuomba msaada kwa mjuzi yeyote aliyetayari kunisaidia kuomba scholarship kusoma nje, vigezo vyote ninavyo isipokua kuna mahala nakua nakwama hivyo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Sipendi kusoma bongo bongo wanasoma wazee wa karai Sasa mzee ameniambia mwaka huu nile bata tu atanipeleka chuo mamtoni mwakani nikakutane na classic baby sio bongo tudemu vinanuka jasho tu aya...
1 Reactions
65 Replies
5K Views
Habari zenu wana JamiiForums Nilikuwa natafuta tuisheni nzuri ya watoto wangu wa darasa la 6 na la 2. Mahali Temeke, Nipo Buza, Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada ndugu zangu nmejaribu mara nyingi kupita kwenye website yao nione masters programmes wanazotoa lakini sijafanikiwa kuona yaan hamna kitu, please nisaidieni wapendwa mwenye kujua zaidi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Shuleni tulipata kusoma ya kuwa Maada ni kitu chochote chenye uzito na kinachochukua nafasi. Katika yale makundi mtatu ya maada yaani Kimiminika, yabisi na gesi. Jee? Moshi tunaweka katika kundi...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom