Habari zenu wakuu , Kijana wenu ningependa kuomba msaada kwa yeyote ambaye anafahamu application za simu au computer (pc) zenye uwezo wa kuonyesha NOTES ZA ELIMU YA VYUO VIKUU TANZANIA 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Are you a researcher or a scholar and you are going through some difficulties in accomplishing your research?
Please!contact us for the following help:-
Concept papers
Spss training
Data...
```FAIDA ZA KUPATA SAP KWA MWANAFUNZI WA CHUO```
1. *Inafanya kichwa kisiwe kitupu (idle).*
Chuo hufungwa katikati ya July mpaka Nov mda huo wote mwanafunzi anakuwa mbali na vitabu, madaftali...
Msaada wa maelezo. Nimechaguliwa chuo kikuu Dodoma kwa kuchukua Bachelor of science with education.
Sasa sielewi baada ya kuhitimu nitakua mwalimu (pure teacher) au kuna sehemu nyingine nitafit...
Naombeni msaada wa mawazo. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wakwanza wa chuo kikuu Dodoma (UDOM). Nilichaguliwa chuoni hapa kusoma BACHELOR OF SCIENCE WITH EDUCATION bahati mbaya sikufanikiwa kupata...
Kama kichwa cha habari kinavyo sema, nahitaji nipate mawazo chanya kwa atakaekua anafaham. Nina mdogo wangu kamaliza kidato cha sita mwaka 2016.
Alijiunga na masomo ya elimu ya juu ktk chuo cha...
Msaada jamani kwa yeyote anayefahamu mahala zipatikanapo ofisi za kaumu ya Al Hassan Mwinyi Foundation...chonde chonde naomba anijuze ama la naomba nisaidie rununu zao ili nipate kufanya nao...
Nimesikia kwamba watoto wanaotakiwa kuanza shule ya msingi mwakani wameanza kuandikishwa.
Naomba kwa mwenye ufahamu anitajie walau vitu vinavyohitajika ili mtoto aandikishwe na tarehe ya mwisho...
Wana JF habari za majukumu. NIMESAJILI huduma ya salary slip portal kupitia MOF. Hatua zote za mwanzo huduma ina kamilika, tatizo napofikia hatua ya kujaza mwaka ninaohitaji slip. Hapo niki click...
Habari...naomba kusaidiwa chuo ambacho ntapata cheti cha computer kwa uharaka zaidi nahitaji kwa haraka hata kwa kusoma wiki 1 tu nipate cheti ni muhimu
Wana Bodi.
Naomba kukiri kuwa Mimi ni mwanaume wa mkoani Lakini tangu nikiwa mdogo nilipenda kufika dar es salaam kutoka na watu wengi kutoa story nyingi kuhusu huo mkoa wa Dar.
Shauku ilizidi...
Habarini wana JF
Naomba mnisaidie jinsi ya kuandika resume kwaajili ya kuombea kazi
Hata kama kuna mtu ana sample anaomba anitumie
Maana sielewi tofaut ya resume na CV na inahitajika resume...
Wakuu naomba msaada mnirodheshee shule zilizofanya vizuri katika masomo ya sanaa kidato cha sita mwaka 2017 na au 2018
Naombeni msaada tafafhali.
Masomo hayo ni History, Geography, English...
Nimemaliza four 2015 nikafanikiwa kupata matokeo kama ifuatavyo
Physics -C
Chemistry-C
Biology-B
Mathematics-C
English-C
Literature-C
Kiswahili-C
History-C
Geography-C
Civics-C
Nikawa na div 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.