Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habar ndug zang naombbkufaha kwa wale mlioomb mkopo je account zenu zinafunguka make account yangu aifunguki na wala cjapata mkopo ci kwambnmesahau password wala na je bach bado zna endelea
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za leo wanajamvi. Naomba kuju kama kuna yeyote ambaye jina lake lilitoka batch 1 lakini allocation haikupelekwa chuoni mwanzoni ila kwa sasa tayari amepata.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Je nipitie hatua gan nikitaka kujenga nyumba ya makazi!??
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimejaribu kufanya appeal ya kuomba mkopo heslb lakin Leo siku ya Pili nikiangalia status naambiwa IN PROGRESS. Mwenye welewa anisaidie nimefanya sahihi au kuna makosa nimekosea kwenye application.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu habarini na poleni na majukumu.. Wakuu naomba msaada kujua majina ya shule binafsi zilizopo dar es salaam maana mie nazijua chache... Lengo la kuzijua nataka nikajaribu kupeleka barua ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanatoa tangazo la kusponsor wanafunzi katika vyuo vya kilimo lakini ukifuatilia kiundani huwezi kumpata mwanafunzi aliyepata sponsorship hata mmoja Pia ukijaribu kuomba sponsorship hupati...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
habari..? naomba kuelimishwa kuhusu hii kozi kwa ujumla wa ngazi zote yani cheti, diploma, degree n.k kuhusu ajira, chuo kizuri kinachotoa kozi hiyo, watu waliofanikiwa kupitia kozi hiyo n.k
0 Reactions
8 Replies
4K Views
"we don't have to be smarter than rest we have to displined than the rest" warren buffet
1 Reactions
0 Replies
542 Views
Courses kama LLB, PSPA,journalism na B.A economics hazifai kabisa unaweza kupigwa risasi mda wowote. Mana ukisoma course hizo lazima uwe mbishi na unabishana na serikali au kila mtu la sivyo...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Nasubiri maswali. machache juu ya saut mwanza, first year hakikisha unatunza tiketi yako, maana kigezo cha kupata hostel unanyesha tiketi yako, hii itathibitisha umetoka nje ya mwanza. na lazima...
1 Reactions
59 Replies
20K Views
Wadau Habari za muda huu, mimi ni graduates wa chuo na ni Mwl wa Sekondari katika wilaya moja hapa Tanzania. Nimekuwa interested kutatua matatizo ya jamii inayonizunguka kuliko kuendelea kuisubiri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mzuqa Dogo bin Salman MBS kapatikana hana Hatia vishen 2030 ipo palepale. Tofauti na Iran ambapo kuna makanisa lukuki Saudi Arabia hamna kanisa hata moja ingawa kuna wakristo million moja na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Msaada ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Habari za kazi , samahani ninauliza kuwa ukipata carry over chuoni, ndo chanzo cha boom kuanza kusumbua Kwa mwanachuo? Naomba mnijuze maana maisha ni magumu chuoni , maana jina langu sikuliona...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari ndugu, ktk batch zote zilizotoka hakuna 2nd or 3rd year aliyepata mkopo, je kunabatch it a kayo walenga wao tu au ndo bas tena[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ambae namshukuru mungu nika kibarua cha kupata chochote mwisho wa mwezi,samahani nilikuwa naomba msaada wa mawazo kuwa mm mwakani ninampango nijisajiri kufanya mtihani wa kidato cha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kumekuwepo na tatizo linalosababishwa na uongozi wa baadhi ya vyuo nchini kugoma kutoa fedha za kujikimu kwa baadhi ya wanafunzi mpaka wa ingie MIKATABA kandamizi(Ni singependa kuweka wazi hapa)...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Napenda kuwa muandaaji wa sinema . naitaji kujua ni chuo Gani kinatoa mafunzo Na jinsi ya kuandaaa sinema . Pia nisome nini ? naitaji kujua chuo pia Na gharama zake Asanteni
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Wananchi wenzangu,poleni na Majukumu.... Naomba msaada Wa kujulishwa je ni Bank gani inafadhili ELIMU ya juu ya watumishi Wa serikali hasa walimu kwani mishahara imebaki kidogo baada ya kujenga...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
hivi ukishaama chuo kimoja kwenda kingine, mkopo wako utaamishwa baada ya siku ngapi?? Wataalamu nisaidieni
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom