Ndug zangu kam kuna mtu anaye ijua taasisi au shirika au kampuni yoyote inayotoa msaada wa kuwasomesha wanafunzi wa elimu ya juu naomba tujuzane ili walengwa waweze kupata huo msaada asanteni.
nataka kuandaa project chuoni inayohusiana na program za hydrology na meteorology.mpaka Sasa Nina title kadhaa nimeziandaa Kama vile "assessment of human impacts to river msimbazi", sio vibaya...
Leo Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha muswada kufanya Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru, kiwe taasisi inayojitegemea. Na katika mapendekezo ya muswada, wanasema wana mpango...
Tarehe 14/11/2018 Mwenyekiti wa Tahliso ndg George Mnali akiambatana na kamishna idara ya mikopo na udahili Tahliso ndg Leckton Moris walifanya ziara ya kutembelea bodi ya mikopo na kuweza...
Vitabu vya kusoma kwa kijana
Kwenye uwekezaji
the intelligent investor
buffetology
richest man in babylon
rich dad poor dad
Kwenye uongozi
how to win friends and influence people
7 habits of...
Havari wakuu
Je ukipata mkopo ukiwa mwaka wa pili na ulishajilipia Ada tangu mwaka wa Kwanza.
Je una haki ya kurudishiwa gharama ulizotumia mwaka wa Kwanza na wapili?
Habari wanajamii, wakati nikiwa nafanya usajili hapa chuo kikuu cha dar es salaam (UDSM) na nikiwa tayari nishachukua admission letter pamoja na kupata picha ya ID nikapotelewa na vyeti vyangu...
Mdogo wangu aling'ang'ania anunuliwe Laptop nikamnunulia, sio kwasababu ya ujinga, hapana.ilikuwa kumridhisha na kwasababu ilikuwa ndani ya uwezo wangu.
Lakini nimekuwa nikimuuliza...
wadau, wakurugenzi na school managers, nina jamaa yangu from Rwanda anataman aje Tanzania kufundisha lugha ya kifaransa kwa shule za secondary Tanzania.
kwa atakaye hitaji tuwasiliane ili...
Sabalkheri wanajamvi,
Naona vijana wanahamu na koz za afya na mim ningependa kushare na nyinyi uzoefu wangu..
TWENDE KAZI..
Pale NACTE wamesema kwa Diploma unahitaji uwe na C ya Bio na C ya...
Naombeni kuuliza ndg zangu, serikali imekua ikitangaza nafas za ajira kwa walimu wa shule za msingi na secondary karibu kila mwaka. Je fani ya ualimu ktk elimu ya awali ktk ngaz zote, (mean...
Naombeni kuuliza ndg zangu, serikali imekua ikitangaza nafas za ajira kwa walimu wa shule za msingi na secondary karibu kila mwaka. Je fani ya ualimu ktk elimu ya awali ktk ngaz zote, (mean...
Wanafunzi wapatao 2,397 wamepangiwa mikopo katika awamu ya pili ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019.
Idadi hiyo inafanya jumla ya Wanafunzi wa elimu ya juu wapatao 27,929 kati ya wanafunzi...
ENGLISH CONVERSATION
kwa wale wote ambao wana shida katika kubonga kizungu tukutane hapo ndani kwa kubonya hio link hapo juu.
*unapaswa kukamilisha usajili wako ili kujua uwezo wako ulio nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.