Haya wadau
mkoa wa pwani unawanafunzi zaidi ya elfu 18 wa shule ya msingi na sekondary wa kidato cha 3,hawajui kusoma na kuandika je
nani wakulaumiwa hapo?
kwa upande wangu mimi nailaumu...
Habari wapendwa wa jukwaa hili pendwa LA elimu ikiwa ndo wiki ya kwanza kabisa baada ya kukaa mtaani muda mrefu sasa hatimae sasa vyuo vimefunguliwa nikiwa ndo first year ambaye Niko college ya...
Wasalaam Wanajamvi.
Bila shaka leo ni mara yangu ya kwanza kuweka uzi hapa Jamvi la GTs.
Tanzania ya miaka hii imekosa wasomi wenye uwezo wa kutumia Elimu yao kwa manufaa mapana ya taasisi...
Nimechaguliwa chuo kikuu cha Stella maris mtwara university coz ya bachelor of philosophy with political science
Nawaombeni msaada juu ya hii coz ikovip na ajira zake zikoje msaada wakubwa
Heslb wanapanga mikopo lakini mchanganuo unabaki siri mpaka utakapofika chuoni, kwa hiyo unakuwa huna maandaliziyoyote ikitokea umepata mkopo kiduchu. Kuna wanafunzi wamepata mshtukomkubwa baada...
Wanabodi,
Naombeni msaada nahitaji anaejua hili.
Kuna wakati nakumbuka wizara ya elimu ilitoa mwongozo kwa shule zote hasa shule binafsi kwa vile mtindo huu ulikuwa shule binafsi zaidi. Ya kuwa...
Habarini za asubuhi wana JMF wenzangu natumai tumeamka salama
Niende moja kwa moja kwenye point nahitaji app nzuri ya kujifunza kiingereza na kifaransa kwa wanaozijua app nzuri iwe za online au...
Wale wadau wa DIT,CBE Dar campus,IFM,Tumaini Dar campus na TEKU Dar campus, Hostel nzuri na ya kisasa ipo maeneo ya Lumumba, special kwa wanaume pekee, maji na umeme wa uhakika, ulinzi wa...
Habari wana jamii forums, naomba mwenye shule nzuri za primary za english medium maeneo ya kigamboni naomba mnijulishe kwani ivi karibuni ntahamia huko kwa sasa naishi mtongani naombeni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.