Ndugu zangu wana jamvi ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima mnaendelea na shuguli zenu kama kawaida. ninaomba leo wale wataalam wa mambo ya elimu wanisaidia sababu ambazo zinafanya idadi ya...
Watahiniwa 427,181 wa kidato cha nne katika shule za Sekondari 4,873 Tanzania bara na Zanzibar wanatarajiwa kufanya mitihani yao ya kumaliza kidato cha nne kuanzia kesho Novemba 5 hadi Novemba 23...
Kwa yeyote Afisa tabibu aliyeko jiji la Mwanza (Halmashauri yoyote) na anahitaji kubadilisha kituo na yuko tayari kuja MANISPAA YA MUSOMA(Musoma mjini) tuwasiliane kwa namba 0719090269
Hbr wapendwa.Natumaini mko salama na wagonjwa Mungu awape wepesi na mpone haraka.
Niende kwenye Mada....
Kuna rafiki yangu alichaguliwa UDOM mwaka kozi BED IN ADMINISTRATION AND MANAGEMENT...
habari wanajf naomba msaada wa ada. nimepata nafasi ya kusoma university of dar es salaam COICT, Diploma in Computer science.
ada ni milioni mbili kwa miaka miwili yote, but semister ya kwanza...
Pamoja na mambo yote yanayofanywa na serikali za africa hususani Tanzania bado umasiki upo kwa kiwango kikubwa..
Katika uzi huu nitaizungumzia Tanzania sana...
Ili umasikini uweze kupungua ni...
Tunda hili lina faida nyingi pamoja na kuwa ni chanzo kikuu cha Protini, Mafuta, Nyuzinyuzi, Wanga,Calcium, Phosphorus, Chuma,Vitamin A,B6,C. Potasium, Magnesium, Carotene, anthocyanins na...
Eti mtu anakuambia kuna pembe tatu ambayo hapo hapo ni duara?
Kwani hazipo pembe tatu duara au ni kujitoa ufahamu tuu wakuu.
Ipo pembe tatu duara.
Kama ambavyo naamini yupo mtu ambae ni mfupi...
Habar zenu humu,kama kuna mtu ana joining instruction ya udsm anitumie,kwenye site yao sioni mahali pa kudownload pia kwenye account yangu siwezi kuingia
Habari Jf,kuna kitu nime sikia kwa baazi ya watu wangu wa karibu wakilia kuhusu izo allocation za mikopo,katika batch ya kwanza walio otoa wali toa na idadi ya watu watakao pata io mikopo lakini...
Kama ww ulisoma shule za tech mf. Iyunga tech, ifunda tech, Tanga tech, Mtwara Tech Na shule Nyingine kama hizo njoo hapa na useme ulisoma ufundi gani na umekusaidia nini hadi leo hii. Pia toa na...
Yani SUA ni chuo bora wanafunzi hawajafanikiwa kufanya registration lakini wamepewa malazi tena kwa ubora Viva SUA viva
Let others learn how to work for their people
Nichukue nafasi hii kuwatakia kila la kheri wanafunzi wote wa kidato cha nne. Ambao kesho tarehe 5 November 2018 watakaa kwa ajili ya mithiani yao ya mwisho.
Nguvu ingeanza kuelekezwa kutafuta wafadhili na kuwa na mashindano ya some la hesabu na sayansi kuanzia O level mpaka A level.
Washindi wa watatu wana pata nafasi ya kwenda kuongeza vipaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.