Nimemaliza form four 2010 n diploma 2017...nikawa kwenye majina ya waliotakiwa kuattach vitu vilivyokosekana of which I did...selected round 4....je watanipa mkopo?
Habari Wana-Jukwaa
Naomba msaada wenu kunisaidia katika hili, Mfano Mwanafunzi ada yake ni Tsh. Milioni 6 na kwenye Mkopo wa HESLB amepata asilimia 100 atalipiwa kiwango chote cha ada hiyo?
Habari za humu!
Nina mpwa wangu ambaye alihitimu elimu ya msingi mwaka 2015 na hakubahatika kuendelea elimu ya Secondary. Ni kijana wa kiume ambaye kwa hivi sasa ana umri wa miaka 18.
Hivi...
Habari za mida hi wakuu
Kama kichwa kinavojieleza apo juu hivi inaezekana mtu kubadilisha kozi moja kwenda nyingine mfano nursing kwenda clinical medicine. Au kutoka phamacy kwenda nursing...
Habari ndugu walimu,
Kama title I navyojionyesha kumekuwa na malalamiko na manung'uniko kuhusu huyu mdudu CWT kuwa ni mnyonyaji wa walimu na sio msaada tena...mimi nilikuwa mmojawapo wa watu...
habari za wakati huu wanajamii forums, ninashida ya kutaka kujua kitu kutoka kwenu kwa wnye uwlewa juu ya hili. simply nina diploma ya records ya 4.1 GPA, je naweza kujiunga na kozi ya bachelor of law
Tafadhali Naomba kujua upangaji mkopo chuon Tayar maana chuo knafunguliwa tar 3 November ,2018 sa mtu anajuaje Kuwa kapata aslmia ngap na alipe kias gan? Kwenye acc ya kila mmoja No changes Msaada plz
jamani bodi ya mikopo mmekuwa kikwazo kwa watoto maskini kutimiza ndoto za kupata elimu ya juu.
ni kwamba majina yaliyotangazwa kuwa wanafunzi wamepata mikopo ni uongo wa hali ya juu, sijui...
Hizi habari zenu sijazielewa, mnajua kuwa sijaconfirm wala kufanya mawasiliano na nyinyi, sasa hizi admission letter na joining instruction mnazoniwekea kwenye account yangu za nini na mna maana...
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?
Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya...
Ndugu wanajukwaa salamu kwenu,kwa wale wote wanaotafuta udhamini na udahiri wa shahada ya umahiri/uzamili nchi za nje tafadharini sana tupeana mikakati jinsi ya kufanikisha swala hili nyeti...
Jamani naombeni msaada wa Notic za Diploma in Clinical Officer. Unaweza kunitumia ktk Email (marcoyohana2@gmail.com) Nitashuku sana kwa atakae nisaidia.
plz help me this question wana jamii forum.
With examples from east or west Africa,show how company rule helped to create European colonization in Africa.
Habari wakuu,hivi wanafunzi wanaosomea diploma ya ualimu wa shule za msingi wanamaliza lini,maana nna mdogo wangu anasoma chuo cha ualimu kleruu anadai nacte wamewatangazia kumaliza mwezi wa nane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.