Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kichwa cha thread chahusika Kwa mwenye mawasiliano kwa mtu/mwalimu yeyote pale KCMC kwani nimetafuta katika website yao nimepata barua pepe na nilipotuma ujumbe majibu hayajanisaidia. Shida yangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Karibuni sana SAUT Mwanza chuo bora kabisa kwa utoaji wa Elimu, confirm SAUT ili upate shule ya maana, hostel za kisasa room za maana masuala ya exile labda utake wewe mazingira mazuri. Ila kwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Wana-Jukwaa! Naomba msaada wenu mtueleweshe kuhusu Direct Cost vyuoni. Zinalipwa zote kwa pamoja siku hiyo hiyo tutakapofika vyuoni? Maana vyuo vingine Direct Cost wameandika Tsh...
0 Reactions
66 Replies
10K Views
Wakuu Habari!! Naomba kujua nimepoteza Chet Cha form four je nikienda necta watanipa kingine au Kuna utaratibu gani huwa unafanyika Shukurani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wasalaam wakuu... kwanza hongeleni kwa vijana wa kidato cha sita waliofaulu.. pia poleni kwa wale tulioshindwa kufanya vema kwenye matokeo lakini kumbuka kufeli mtihani siyo kufeli maisha...
0 Reactions
21 Replies
10K Views
Naomba kujuzwa matokeo ya second selection kwa diploma na certificates yatatoka lini?
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Habari za humu Wakuu? Jamani kwa yeyote anayeelewa ni lini watatoa second batch, leo tar 27 kimya Wanafunzi wa mikoani wanaripoti lini vyuoni hapa ni shida tupu mwenye idea atueleweshe Asante
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Jaman naombeni msaada kama nilivyo waonyesha hapo chini unakuta chuo mfano wa makerere wanafunzi wote wa E. Africa wanalipa sawa ila nashanga hii mbarara wameweka ugandan na international ina...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani wana jf wenzangu ningependa kujua kama allocation ya mikopo ishafanyika batch1 bado au tayari.
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Jamani naomba mnisaidie kwa ambaye anajua jinsi gani asilimia 25 ya mkopo uliopewa inakuwaje una chukua ada tu au unachanganya na boom?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
hiv science and laboratory technology vip katika ajira
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hellow,,,,,nilikuwa naomba kuuliza haya maswali kwa wenye ujuzi na masuala ya finance na accounting 1. Ni career ipi ina demand kubwa kati ya finance au accounting 2. Zipi pros and cons za...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Taratibu zote zimekamilika ila kuna uwezekano wa kuwa na awamu ya tatu ingawa bado Haijathibitishwa rasmi kuwapo kwa hiyo awamu ya tatu.stay turned
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Nina one 8 PCB naweza kupata MD fourth round udom? Msaada
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Nomba mwenye kujua namna ya kuomba kuhama chuo kimoja kwenda kingine vyuo vya kilimo kwa ngazi za certificate anisaidie.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
toa mifano ya misimu iliyozuka katika vipindi vifuatavyo; 1. njaa ya mwaka 1975-1979 2.njaa ya 1998-1999, 3. muda mfupi baada ya kupata uhuru, 4.miaka ya vita vya kagera, 5.kipindi cha hali...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Salam kwenu nyote! Ndugu naomba msaada wa kimawazo juu ya kozi hizi za biashara: ACCOUNTANCY na BUSINESS ADMINISTRATION katika suala zima la ajira; ni ipi kati yake iliyo rahisi kupata ajira, na...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
kama kuna mtu anajua jinai ya kuhama chuo kimoja kwenda kingine.....procidures....je na kwa muda huu naweza kuhama???
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamani wana jf wenzangu ningependa kujua kama allocation ya mikopo ishafanyika batch1 bado au tayari
0 Reactions
1 Replies
625 Views
Back
Top Bottom