Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau msaada, naomba unijuze shule nzuri ya kurudia mtihani wa kidato cha nne kwa Iringa mjini. Nataka kujua shule na si kituo
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania(TCU) imewapawa fursa ya kwenda kujisajili kwenye chuo wapendacho waombaji waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja Ni waombaji wale ambao hakuweza kuthibitisha udahili wao...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Thread yajieleza hapo juu wana JF, hivyo kwa mwenye ufahamuna kozi hii tujuzane Inahusiana na idara ipi kwa wanahabari? Vipi ajira zake ? zinapatikana kirahisi katika industry ya habari? Hasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habarini zenu, sitaki kuwachosha na salamu nyingi naenda moja kwa moja kwenye topic yetu. Kama una swali lolote kuhusu chuo kikuu cha mzumbe uliza kwenye huu Uzi na wahenga wa Mzumbe...
5 Reactions
209 Replies
35K Views
Amani iwe nanyi wanajamvi! Kwa mawazo yangu kwakweli walimu wangeruhusiwa kwenda kusoma masomo ya ICT au I.T na kupewa likizo ya malipo hata ikiwezekana alipiwe kabisa na ada tofauti na ilivyo...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari zenu wadau, Naomba kuuliza kwamba hii kozi ya Bachelor of Arts in Economics and Sociology ambayo inasemakana inatolewa chuo kikuu cha UDOM tu. Je mtu akisoma kozi hii ndio anakuja kuwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa yeyote anaejua swala hili anijuze kama nitaanza certificate nikitaka kuchukua degree ni miaka mingapi?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mwenye majina ya wliopata mkopo 2 batch
0 Reactions
3 Replies
642 Views
Habarini,waungwana...Mimi ningehitaji kupewa ufahamu au maana ya haya maneno yaani UJINGA na UPUMBAVU tofauti yake ni IPI?karibuni wadau na wataalamu Wa lugha
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu... Kutokana na mfumo wa udahili mwaka huu kua na changamoto nyingi, baadhi ya watu tumejikuta tukichaguliwa programs (kozi) nje ya malengo yetu... That being the case...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa wale waliochaguliwa udom hasa college of earth science mnaweza kuniuliza jambo lolote!nipo kuwasaidia! nipo 2nd yr petroleum engineering
1 Reactions
78 Replies
14K Views
•DEGREE PROGAMMES AMBAZO ZIMERUHUSIWA KUFANYA FIELD PRACTICAL TRAINING MWAKA HUU KTK COLLEGE YA HUMANITIES AND SOCIAL SCIENCE YA UDOM:• Bachelor of Business Administration(BBA), Bachelor of...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Awamu ya tatu hii tunafanyaje application nacte kwa anae jua anisaidie
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nachukua nafasi hii kuwapongeza waandaaji wa katuni za akili zinazofundisha watoto wetu kiingereza toka kwenye kiswahili. watoto wangu wanazijua hadi ratiba kabisa za lini kipindi hicho...
2 Reactions
2 Replies
957 Views
Wakuu yaani nimevurugwa asee! Nilikuwa najua kuripoti ni tarehe 27 nikajipanga nikakata tiketi tarehe 23 niondoke tarh 26 alafu wanaleta habari ya kubadili muda wa kuripoti. Ndio hivyo kesho...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Naomba kufahamishwa mahali ilipo st. Anne marie secondary school.. Nimegoogle naambiwa Iko mbezi but cjajua ni mbezi ipi na direction ipi. Msaada tafadhali.
0 Reactions
5 Replies
9K Views
jaman m nashindwa kuelewa nilchaguliwa round ya kwanza dp ya pharmacy na baada ya kuchagiwa kulkua hakuna selection nyingne yan second wala third sasa nashangaa tulchaguliwa 123 naona yapo majna...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kuna habari nimeiona mitandaoni lakini sijapata chanzo makini cha kudhibitisha hilo. chuo kikuu cha Dar es salaam wametengua usaili wa wanafunzi wake takribani 682 waliokuwa wamedahiliwa chuoni...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
UTARATIBU MPYA KWA WAOMBAJI WALIOCHAGULIWA NA CHUO ZAIDI YA KIMOJA
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa wanafunzi wote kuanzia kidato cha 5,6 hadi chuo kikuu na wasio wanafunzi ilimradi matumizi ya calculator yanakuhusu. Moja kati ya changamoto zinazo tukabili ni calculator fake. Kwa wale wenye...
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Back
Top Bottom