Habari wapendwa poleni na majukumu naenda direct kwenye mada batch ya kwanza ya heslb imetoka Mungu si trump nami jina langu nikaliona sasa ndo Niko nasubilia ni asilimia ngapi ili sisi walala...
Habari zenu wanajukwaa,
Ndugu yangu amehitimu kidato cha sita 2018 mchepuo wa 'PCB' akafaulu kwa C kila somo. Ndoto yake ni kusoma Doctor of Medicine (MD) na hivyo aliomba kozi hiyo kwenye vyuo...
Habari!! Niende moja kwa moja kwenye kiini cha mada ambayo inakuja kwa mtindo wa swali,He huchukua mda gani toka kutangazwa kwa majina hadi kujua allocation yako ya mkopo maana siku zinaenda na...
Samahani naomba kuuliza kwa anaefahamu.
mimi ni muuguzi (ngazi ya diploma) niliomba kujiunga na ngazi ya degree mwaka huu na nimefanikiwa kuchaguliwa kozi ya human nutrition(sua)
swali langu ni...
Kwa wale wanaofahamu gharama za mtu anayeingia mwaka wa kwanza chuoni(first year) hasa chuo cha udsm anisaidie nashida nazo nahidaji nianze maandalizi mapema sababu heslb siyo ya kutegemea
Jaman wakuu mm Nina 3 yangu ya 25 japo so nzur lakn naona nilijitahidi nimeaplly certificate ya ualimu mpaka Mara mbili nakosa first & second sasa hvi second zimetoka simo tena nishaurini nifanyeje
Habari za jioni wadau...
Nilikuwa nauliza kwa wale tuliochaguliwa UDSM second round kama mmepata tetesi za admission letter kutoka coz nilipoenda mara ya kwanza waliniambia majina yameenda TCU...
Zaidi ya miongo miwili, UCC imetoa ufumbuzi wa darasa la ICT kwa mojawapo ya taasisi zilizojulikana zaidi za Afrika, Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na umma. Na uzoefu wa miaka chini ya ukanda wetu...
Kati ya vyuo hivyo kipi kina hali nzuri ya kujifunzia in terms of academics, accommodation, student welfare, general learning (conducive) environment kwa Certificate
Uzi huu nimeuleta kama moja ya kukutana wale wote "tunaotaka kujifunza" na "waliojifunza" kuendesha mashine hizi ambazo ni heavy duty.
Tupeane maujanja ya hizi mashine maana tumeona zinafursa...
Habari ndugu zangu.
Baada ya kukaa muda mrefu nyumban Nmeona bora nkaombe kufundisha katika vyuo/ college hizi znazotoa course za nursing and midwifery ingawa mim sijasomea kabsa hyo course maana...
Wakuu salam.
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimeshatoa first batch kwa undergraduate so nina amini kuna watu wamechaguliwa Dar es Salaam University College of Education (DUCE), mimi ni mwanachuo wa...
salam zenu wakuu!.nimejaribu kutafuta historia ya wanafunzi bora(wa kwanza) au tanzania one hapa tanzania kwa kidato cha sita lakin sikufanikiwa kupata.
Naomba kwa yeyote mwenye historia ya...
Habarini wanazuoni na wabobezi wa elimu.
Niko mbele yenu kuna masuala nataka niyajue juu ya taaluma ya OUT (open university of tanzania). Kwa watu waliosoma au kuwa na uelewa juu ya hii system ya...
Habari wana jf
Nina mdogo wangu amechaguliwa UDSM na UDOM second round,kilichotokea ni kwamba mara baada ya kuchaguliwa UDSM walionekana kufanya confirmation bila taarifa kwa mwanafunzi,tulipoona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.