*UNATAKA KUWA MHANDISI?*
Kama umemaliza *kidato cha sita* katika masomo ya *PCM* au *Diploma (NTA Level 6)* na unataka kuwa mhandisi, Basi jibu ni moja tu.
Karibu na ujiunge na chuo cha St...
Salam wakuu.
Niliaply vyuo viwili second round ambavyo ni DIT na MUST. MUST walinijibu mapema sana kuwa nimechaguliw lakini DIT wamechelewa sana wamenijibu juzi kuwa nimechaguliwa lakini...
jina la tatu kutoka mwisho ni FOCUS MTOKA Namba ya kidato cha nne ni S0387.0044.1998
Hii ina maana amemaliza kidato cha nne mwaka 1998, twende pamoja Mara nyingi anayemaliza kidato cha nne huwa...
Najua katika muda wote wa udahili tumelalamika sana, wengine wametukana sana na kadhalika. Ni kweli kumekuwa na magumu na machungu mengi yamewasibu na yanawasibu waombaji (haya yote yamelalamikiwa...
Ningependa kufahamu juu ya zile asilimia za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu je!? Kila asilimia moja huwa inakuwa na thamani ya shilingi ngapi!?
msaada wenu wakuu wangu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Habarini wakuu.
Wale wote tuliobahatika kupata mkopo batch ya nane wa Vyuo vyote tukutane hapa tujue tunafanyeje maana mwezi wa pili huu bado hatujafanikiwa kupewa stahiki zetu.
Mawaziri wetu Wa...
Habari Zenu Wana Jamii Forum mimi kwenye acount yangu nliyofanyia aplction udsm naona kwenye selection result page sioni status zaid naona wameandika an erro sijui na nyie wenzangu mmeandkiwa ivyo...
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa mikopo kwa wanafunzi wapya wa mwaka wa kwanza 25,532 kati ya 41,000 walioomba kwa mwaka wa masomo 2018/19.
Akizungumza na waandishi wa...
Ndugu kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Ningependa kutoa ushauri kwa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU)na vyuo husika kutokana na zoezi la udahili wa wanafunzi lilivyokuwa likiendelea wakati zoezi...
Habari wanaJF
.
Nilikuwa naomba kuuliza eti
Chuo kikiwa ownership ni private kwa maana cha private lakn kimesajiliwa na NACTE,
.
Je, selikali ikitangazaa ajira kutoka katika vyuo, wanakuwa...
Mimi nina ndugu yangu alifaulu na akapata chuo awamu ya kwanza ila baada ya kutuma maombi ya mkopo kumbe jina lake lilikuwepo katika waliokosea ila alipuuza ama kutojua na sasa amekuja jua juzi...
Ni bora mkarudisha system ya kuaply vyuo kwa wale watu wa form 6 TCU na kwa watu wa Dipolma Nacte.
Kulikua akuna multiple selection kama sasahivi, kuna wanafunzi kibao watakosa vyuo kisa hii...
naomba kujua sehemu/maduka /viwanda ambavyo vinahusika kuuza vifaa ya shuleni au ofisini kwa bei ya jumla na nafuu zaidi.msaada jamani.maana mimi ni supplies ndio na anza na nimepata tenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.