Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jaman aliyesoma diploma ya it anaweza akasoma bachelor ya account?
1 Reactions
7 Replies
741 Views
Wanafunzi wa shule ya msingi Mkapa wilayani Kalambo mkoani Rukwa walioshuhudia bayana Mwalimu na msimamizi wao wa mtihani kufa kwenye chumba cha mtihani watakuwa waliathirika kiakili. Hii inaweza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Orodha ya Waombaji waliodahiliwa na Chuo zaidi ya kimoja
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Wakuu nimependa kushare nanyi hili jambo kuhusu chuo kikuu cha Dodoma.... Kwa walio multiple udom naona ni dhahiri wamekuwa confirmed automatically hata kama uliconfirm chuo kingine wao...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari zenu wasomi, najua ndo mnaparangana ku confirm vyuo now poleni mana wengi mtapata vyuo ambavyo hamkutaka, nilipitia izo boring stuff kama umechaguliwa S.t augustine mwanza karibu sana hata...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwa wanafunzi Muda wa ku- Confirm umeongezwa hadi J.pili saa 6:00 usiku ,tutakuwa makini kuangalia kama Muda uliongezwa utatosha au hautatosha ! Ili tuandike mapendekezo yetu ya muda zaidi...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
habari zenu wakubwa Sisi tuliokosa kuchaguliwa awamu ya kwanza kujiunga vyuo vikuu tuomba kuuliza je awamu ya pili itaanza lini hili tuanze apply mapema
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari zenu wanaJF. Nimechaguliwa katika kozi ya bsc of agricultural economic and agrobusness lakini bado sijapata mwanga katika kozi hii hivyo naombeni ushauri wenu Pia kwa anae fahamu zaidi...
1 Reactions
45 Replies
7K Views
Hapa nimepewa kazi ambayo naona imenishinda ya kumshauri mdogo wangu aliepewa option na TCU kuchagua kati ya Tax Management (CHUO CHA KODI) au Horticulture SUA. Ushauri uzingatie soko la ajira...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
NAOMBA MSAADA WAKUU KWA ANAEJUWA nimechaguliwa BED in Science Ila Sijaipenda Napenda Bachelor of Science with education nifanyeje wakuu? ni Reapply upya au
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mdogo wangu amechaguliwa Udsm kozi ya political science and public administration Anauliza vip ajira zake?
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Husika na kichwa cha ujumbe hapo juu. Napenda kujua sifa na vigezo vya kupata fully funded scholarship nchini china BACHELOR DEGREE. Itapendeza kama nitapata maelezo ya ziada pamoja na ushauri...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Heshima kwenu wana JF! Nina dogo amaemaliza form six na kupata Div 2 ya point 11 na alisoma PCB malengo yake aliomba Bsc in Medicine,Bsc in Laboratory na Bsc in Nursing lakini zote amekosa na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Tcu wameongeza muda wa kuthibitisha pitia hili tangazo
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wakuu nina rafiki yangu alichagua vyuo vitatu lakini akabahatika kuchaguliwa chuo cha CBE Mwanza lakini hayuko tayari kabisa kwenda hicho chuo anataka kwenda SAUT Mwanza kwan ni moja ya...
0 Reactions
2 Replies
874 Views
Baadhi ya vyuo kama SUA,UDOM sasa hivi wanaweka majina ya usahili(interview) ya nafasi mbali mbali za kazi kwenye tovuti(website) yao,tabia ya kutumia njia ya kupiga simu kuwa ndio njia pekee...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wasalam kama kichwa kinavyojieleza naomba msaada kujua field kozi hii kujiajiri au kuajiriwa ( hasa kwa wahitimu na wenye uelewa wa kozi hii). pia nataka kujua kama ina tofauti na bachelor in...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari, Kwa wale waliochagulia UDSM without mulitiple selection, kuna mtu mwingine anaekutana na ujumbe "You have REJECTED this admission offer " ilihali hakukua na sehemu ya kukubali wala...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Jaman naskia SUA wameachia majna mengne mwenye nayo nayaomba
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanatuambie udahili unaendelea tusubiri wakat vyuo vingi vimeanza 2nd round
0 Reactions
5 Replies
930 Views
Back
Top Bottom