Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Msaada jamani naitaji kuhama Chuo ..nataka nitike Chuo xx.nienche Chuo cha afya kilichopo Moro dar. Ila kiwe cha afya Na kiwe Na coz ya pharmacy ngaz ya diploma ..Na private ..naombeni msaada...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Huu uzi special kwa wale waliochaguliwa UDOM kwa mwaka 2018/2019 wa masomo...natumaini wazoefu watakuwa mstari wa mbele katika kuchangia mawili matatu...KARIBUN SANA UDOM, KARIBUN SANA DODOMA
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wale tulio Apply IFM naomba tujuzane kipi kinaendelea; make tangia jana kila ninapo ingiza CODE zangu ili ni Confirm ngoma ina search tuu bila majibu, namba za simu nazo hazipatikani.
0 Reactions
0 Replies
681 Views
IFM
Kwa wale tulio apply IFM naomba tujuzane kipi kinaendelea mpaka sasa, Nashindwa kuelewa tangia jana Kila ninapojaribu ku conferm CODE zangu ngoma ina search tuu bila majibu
0 Reactions
0 Replies
311 Views
Kama wew umeomba chuo cha CBE 2018/19 naomba tupeane updates ili kujua nini kinaendele
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naombeni mnisaidie nina dada yangu kachaguliwa vyuo viwili course ambazo haitaki sana.JE!! anaweza kuacha kukonfirm na kusubiri kuomba awamu ya pili?? imekaaje hapo??
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ni kweli sifa za kujiunga na clinical medicine zimetelemshwa kiasi hiki? Tunapata matabibu kutokana na walioshindwa Form 4? Just look, D ni failure kwa kozi kama hiyo! MASASI CLINICAL OFFICERS...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chuo pendwa Tanzania cha achia majina ya awamu ya kwanza. pakua hapo chini
0 Reactions
9 Replies
3K Views
What is mechanical engineering? Sean Carron, combustion, heat transfer, fluids, machines, control systems, oil/gas processing Answered Aug 7, 2016 I have hired many engineers over the past 20...
1 Reactions
0 Replies
723 Views
Samahanini jamani naomba kuuliza Kama mtu amaomba mchanganyiko Yani mfano ameomba vyuo viwili vya afya na viwili vya ualimu kwa ngazi ya diploma, wanaangaliaga nini kukuchagua chuo kimoja...
0 Reactions
7 Replies
949 Views
Ningependa wizara ya elimu iombe wapelelezi,wapeleleze wajue nini kinachofanyika kwenye sekta yao,alasivyo tutavuna mabua kwa yanayoendelea.. elimu ni kitu cha msingi sana na walimu ndo wapishi...
0 Reactions
0 Replies
521 Views
Naomba Sana Kama Kuna mtu ana mawasiliano ya chuo udsm au group la whatsapp lenye kujibu dukuduku naomba nipate mawasiliano hayo. Msaada Tafadhali
0 Reactions
1 Replies
607 Views
Ilikuwa Mwanasheria wa masuala ya Mitandao yaani BTech law (Cyber Law) Tanzania inakupasa usome kozi gani?
0 Reactions
5 Replies
944 Views
Wadau naombeni mwenye taarifa za selection za chuo cha NIT??
0 Reactions
35 Replies
12K Views
Zinakuja kwa Bus, Ndege,Treni, aunkwa mguu? Tar ya mwisho Ku Confirm imekaribia lakini Code hakuna, sasa vijana wetu wata confirm na non? Au watumie namba za kubuni tu? Kuweni makini pia muwe na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimekuwa na ukaribu na baadhi ya graduates wa fani ya uhandisi kutokana na kwamba either nimefanya nao kazi au nimewahi kuwa class-mate wao katika level mojawapo from secondary to university...
2 Reactions
108 Replies
20K Views
Mdogo wangu kapokea codes za Ku-comform Sasa Hivi, swali je Anaanzia wapi kuingia Kwenye hiyo confirmation? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
581 Views
Kuna bwana mdogo alifanya application SUA na UDOM 1st round akapata BVM ya SUA na hakuwa na multiple maana yake alikosa UDOM hakuridhika na BVM hivyo akafanya "reapply" pale UDOM sasa 2nd...
0 Reactions
5 Replies
999 Views
Dogo kapokea confirmation code dakika chache zilizopita.
0 Reactions
135 Replies
16K Views
Back
Top Bottom