Naimani kna watu wana experience na masomo ya arts na wengine wamesoma ayo lkn nauliza kwa mwanafunzi aliye soma HKL ni kozi gani nzur ya kusoma yenye soko TANZANIA na vyuo vzr vyeny kutoa hizo kozi??
wakuu nilimuombea mdogo angu vyuo viwili na amefanikiwa kupata DIT na ATC lakini mpaka sasa sijapokea code kwa ajili ya kuthibitisha chuo kimoja wapo nafanyaje katika hili na nipo nje ya DSM...
Naimani kna watu wana experience na masomo ya arts na wengine wamesoma ayo lkn nauliza kwa mwanafunzi aliye soma HKL ni kozi gani nzur ya kusoma yenye soko TANZANIA na vyuo vzr vyeny kutoa hizo kozi??
Katibu mkuu wa baraza la mitihani Tanzania Dr
Msonde amesema kuwa kuanzia mwaka huu mitihani ya darasa la saba nchini itakuwa na maswali 40 ya kuchagua pamoja na maswali matano ambayo siyo ya...
Jamani hali si hali hatujui cha kufanya na muda ndo hivo tena na si ajabu kesho tukasikie mengine ya kutuumiza wadahiliwa ambao hatujapata hizo code zao. Sasa kwa nini walioko karibu na hizo ofisi...
kama kawaida yao tcu wamepuyanga kwa mara nyingine mdogo wangu jina halikuja kwa wenye multiple selections ila amechaguliwa vyuo viwili N.I.T na SAUT mwanza sasa hapa hajui afanye nin maana hata...
Hivi haya majina yana yo sambaa mitandaoni mbona kinachoandikwa ni tofauti na kichwa cha habari maana ukifungua link unaambiwa haya ndio majina ya walichaguliwa labla mfano SUA lakini ukifungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.