Huu ni uzi maalum kabisa kwa Wanafunzi wanaoendelea na masomo(Continuing students) na wale Wanafunzi wapya waliochaguliwa (First year students) kuweza kujuzana kuhusu taarifa na mambo mbalimbali...
Nina Dv. 2 pointv 12 DDD je naweza kuchaguliwa UDSM kwa facult ya Bachelor of arts Law Enforcement? maana ndio lilikuwa chaguo langu la kwanza kwa udsm?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau naomba mnisaidie majina ya shule nzuri za girls kwenye hyo mikoa tajwa hapo juu, nina mwanangu nataka nimepeleke moja ya hyo mikoa kwa in urahisi wa maisha ya familia
Wasalam wakuu...
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza UDSM hapo, semister iliyopita nilipata CARRY moja na semister ya pili nina CARRY moja na matokeo yangu yameshikiliwa kwa kuwa nilikua...
Ukiangalia kwa angle flani unaweza ona hili swala la TCU na hizo "code" za watoto waliodahili vyuoni ni la maksudi ili tu kuonyesha haya maswala ya mamitandao hayafai najua jinsi watu walivyokuwa...
Wanangu wa Udom karibun san vijana tujenge nchi, confirm mapema wala usisite ila wale wa (PSPA) political science and public administration mjipange maan siyoo poa[emoji54] [emoji54]
Sent using...
Habari zenu wakubwa mimi ninaomba kusaidiwa jinsi ya kujua( kuangalia) course applicant aliyekua selected kwenye vyuo zaid ya kimoja amepata katika vyuo hivyo ...Asanteni
Habari ya asubuhi wakuu....nimechaguliwa chuo.udsm...lkn mpka sasa sijatumiwa msg ya Ku activate....mnanishauri nifanyaje maana deadline kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaliza kidato cha sita na kuambulia alama zifuatazo yaani:=
Mathematics D
Geography. D
Economics F
General study F
Ombi langu ni kwamba je!naweza soma elimu ya juu katika kiwango cha...
Wanafamilia ni kwanini asilimia kubwa ya watu wanaorudia mtihani wa kidato cha nne na sita huishia kufeli. Wakati huohuo anapotoka katika paper hua anakua na uhakika kua atafaulu lakini matokeo...
Naomba anijuze tofauti ya maneno haya APA
1.bachelor of science education
2.bachelor of science in education
3.bachelor of science with education
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wakuu,
Tafadhali kwa Anaejua lolote Kuhusiana na iyo Faculty.
Kuhusu Mpango wa Ajira ukoje na uzuri wake.
Toka Chuo Cha Ardhi.
Mnanishauri vipi niende au niachane nayo.
Anaejua please...
Viboko/mijeredi vimetumika kwa miaka mingi kama nyenzo muhimu ya kufundishia mashuleni hasa katika elimu za msingi na secondary. Mwalimu haamini kama kuna njia ingine nzuri ya kufanya Kwa...
Habari wadau: Kwa "Applicants" Wote ambao Mmechaguliwa Kwenye Chuo zaidi ya kimoja na hamjapata code kwaajili ya Ku-confirm, Uvumilivu unahitajika na Muwe wapole. Kila mtu kwa sasa anajua watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.