Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
I have a question. Maktaba za huko LA zimeanza Mkakati wa kuwafanya watoto wapende kusoma vitabu kwa kuwaondolea deni la ada Katika shule wasomazo. Kwa kila lisaa limoja mtoto analotumia kusoma...
1 Reactions
0 Replies
710 Views
Ndugu nilituma maombi chuo cha ardhi kila kitu kilienda sawa ila hapo kwenye TCU status nimeshindwa kupaelewa tatizo ni nini iliniweze kurekebisha maana first round selection nimekosa nataka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimepata hofu baada ya kuchaguliwa kozi hii u dom naomba uelewa wenu juu ya hii kitu maana nataka niombe chuo kingine.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kesho ndiyo tarehe ya mwisho ya kuthibitisha vyuo lakini mpaka muda huu wa saa moja usiku hamjatuma codes, kwa hiyo tunaomba muongeze muda wa siku 3
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Eti credit ya BAM ni sawa na crredit ya PURE MATH ? Pia wakati wa ku apply course ambazo sifa yake uwe na MATHEMATICS je unaweza kutumia BAM kama ndo kigezo chako ? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
870 Views
Jamaa yangu anaomba ushauri aconffirm kozi ipi kati ya Pharmacy MUHAS (Muhimbili) na Veterinary Medicine SUA. Ushauri uzingatie ugumu, nafasi ya kujiajiri na kuajiriwa. Zote anazipenda na ana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nasikia SUA wamesha toa majina mbona cyaoni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Nimepata meseji ya kachaguliwa udom Sasa nauliza kwa sisi wa chuo kimoja kuna sehemu ya kukonferm?
0 Reactions
6 Replies
825 Views
Habari wandugu mtoto wangu alichagua kufanya udahili chuo kimoja cha MZUMBE alimaliza diploma level na kupata upper second,lakini cha kushangaza akiingia katika account yake wanamjibu limited...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Poleni sana Kwa wale vijana wenye ufaulu wa chini ya point 4.Mmeambiwa hakuna kwenda chuo kikuu mpaka muuwe na hizo point 4, na NACTE wamesema kua vyuo vya diploma vilivyo vingi nafasi zimejaa...
6 Reactions
23 Replies
5K Views
Unahitaji kurudia mtihani wa form four na six Chemistry and Biology na ni mtu mzima ambae ratiba zako zimekubana mwalimu yupo atakuja akufundishe hapo hapo ulipo muda ule utakaokuwa na nafasi...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani ndugu zangu nimepangiwa Kampala University Kiu Pharmacy naomba mnaojua mtujuze kuhusu ile skendo ya kutisajiliwa na bodies ya maphamasia
1 Reactions
76 Replies
13K Views
Jaman msaada kuna aliyeomba Duce na amepata code? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
654 Views
Nmechaguliwa course nisiyoipenda je naweza badilisha pia watu wanaosoma philosophy and political science wanapataga mkopo anaejua tafadhali anisaidie
0 Reactions
8 Replies
879 Views
Pakua hiyo
0 Reactions
10 Replies
1K Views
tembelea hii tovuti afu login pale juu utafaidika sana sana www.hibazone.com tunakaribisha matangazo yote bureee pia unaweza kutuma makala za biaahara,elimu,uchumi,afya,kilimo,urembo buree...
0 Reactions
1 Replies
463 Views
https://www.necta.go.tz/files/PRIVATE_CANDIDATES_REGISTRATION_ACSEE 2018.pdf
0 Reactions
0 Replies
415 Views
Ukipangiwa vyuo viwili unafanyaje ili kuconfirm kimojawapo?
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Samahan nlikua nahtaj ushauri wa course tatu tofaut nahtaj course 1 UDOM , degree of education in adult education and communnity development NIT, degree of accounting and transport finance ITA...
0 Reactions
2 Replies
430 Views
Ni cifa zipi za mwanafunz kuchaguliwa chuo kiku kwan mwanafunzi mwenye dv1.8 dv1.9 au dv2.10 hawajachaguliwa hivyo hawana sifa je ni cifa gani zinatakiwa??
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom