Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
habari zenu wadau. Nauliza kama course tajwa hapo juu ina uwezekano wa ajira na kujiajiri mara tu baada ya kumaliza mafunzo ngazi ya degree
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunashukuru TCU hatimaye wametoa majina ya waombaji waliochaguliwa kwenye chuo zaidi ya kimoja na wahusika wanatakiwa wa-confirm chuo wanachokitaka. Tatizo ni kuwa hawajaainisha kozi...
3 Reactions
51 Replies
5K Views
Waliochaguliwa TUDARCO Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello wandugu, naona kuna watu wengi wanapata tabu jinsi ya kuchagua kozi mojawapo kati ya alizochaguliwa; ushauri mwepesi sana mbali ya kuangalia vipaumbele vya fursa za ajira kwa kozi husika etc...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Salaam wakuu. Naomba kuuliza kuwa je inawezekana kubadilisha chuo kabla hata hujathibitisha ikiwa umechaguliwa chuo kimoja tu? Taratibu gani za kufuata ikiwa unataka kuhama chuo ikiwa uko chuo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama kuna mtu alisoma Ndanda sekondari miaka ya 1972-1975/6 naomba anicontact PM tukumbukane tafadhali
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Khabar za masiku wana jamvii, nimepata tetes kuwa kuna baadhi ya wanafunz waliopata div 3 wamepata chuo kwa ngazi ya degree, naomba majina ya hivyo vyuo na mm nitume maombi. Asante
1 Reactions
144 Replies
24K Views
Jamani kuna yoyote katumiwa izo code na tcu na sisi tuliopata mzumbe mbona tukiingia kwenye akaunti bad wameandika selection is in progress wakati tushatumiwa msg za kuchaguliwa
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Naomba kujua kama kuna mtu ametumiwa code za ku confirm chuo
0 Reactions
8 Replies
2K Views
KWA TULIOCHAGULIWA ARDHI UNIVERSITY 2018/2019 SOGEA TUJUANE!! VP WADAU NICOMFIRM??
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu salaamu Naona humu jukwaani wanaongelea tarehe tano. Napenda kuwataarifu kulingana na tangazo lao ni kuwa wanataka waliodahiliwa kuthiKuthibi kabla ya tarehe 5. Ikimaanisha Trh 4 mwisho...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari jf members? Samahani naomba kufahamu inachukua muda gani mpaka kumaliza CPA kuanzia ATEC, foundation, intermediate hadi CPA nikitumia cheti cha form 4 au 6 bila kupitia diploma wala degree...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
DOGO ALICHAGUA CHUO KIMOJA TUU MZUMBE KAAMBIWA LIMITED SPACE AFANYAJE ?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
habari members! Jamani natafta chuo kizuri kinachotoa mafunzo ya udereva kwa hapa dar tofauti na VETA Wapo wanaosema niende The Amazon Driving School na The Future World Training Instute msaada...
1 Reactions
29 Replies
10K Views
Habari za kutwa wakuu.? Naomba msaada jinsi ya kupata code za TCU nilifanya maombi nimedahiliwa zaidi ya chuo kimoja.. Yeyote anaejua jinsi ya kuzipata msaada tafadhar Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mwenyelisti ya waliochaguliwa muhas, kcmc au bugando atume tafadhali
0 Reactions
0 Replies
600 Views
naitaji kuchagua kozi ya kunifaa chuon nina one ya point tano advance nmesoma HGL na o-level nina F-Maths na nlisoma pure arts ushauri wenu wana jamvi
0 Reactions
69 Replies
15K Views
Wadau kuna mwenye pdf za hivi vitabu: Riwaya: 1. *MFADHILI* Mwandishi Husein Tuw na 2. *VUTA NI KUVUTE* mwandishi Shafi Adam Shafi) Tamthilia *Kivuli kinaishi* mwandishi Said mohamed na...
1 Reactions
4 Replies
8K Views
Habari wakuu natumaini hamjambo, Mimi ni mmoja miongoni mwa wanafunzi waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja na natakiwa ku-confirm chuo ninachokipenda kwa njia ya email Lakini tatizo ni kwamba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
TCU watoa majina kwa walio chaguliwa vyuo vikuu zaid ya kimoja 2018/2019 je kwa wale walio chaguliwa chuo kimoja majina yao wap??
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Back
Top Bottom