Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Waliochaguliwa majina yanatoka lini ya vyuo vikuu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Inabidi muaundike barua kuwajulisha tcu chuo au kozi utakayoenda kusoma.:wave:
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mkoani Manyara, Mhandisi Tumain Magesa, anakusudia kuanza ziara kuongea na wananchi vijijini. Akizungumza hayo Mhandisi Magessa amesema, maeneo atakayofika ni Kata ya...
0 Reactions
2 Replies
763 Views
Huu mwaka wa 10 sijawahi kuona A ya Geography advance na hata olevel A za geog ni chache sana ..sasa wale wanaosema physics ni somo gumu kuliko somo lolote sijui wanatumiaga vigezo gani kwa kuwa A...
6 Reactions
128 Replies
19K Views
SELECTED APPLICANTS TO JOIN DEGREE PROGRAMMES (2017/2018) The University ofDodoma (UDOM) wishes to inform (i) SELECTED APPLICANTS WITH MULTIPLE ADMISSIONS IN ALL ROUNDS (ii) APPLICANTS NOT...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
lol hao waliosoma hizo kombi walikua wanasoma sana jamani, Leo nataka kujua was it worth?LOL naomba mliosoma hizi kombi msaidie watoto wafanye right choice.. ningependa kujua;ulisoma nini kati...
14 Reactions
193 Replies
28K Views
Naulizia kuhusu kozi ya environmental science and management, naomba kujuzwa kuhusu faida za kusoma kozi hii..maana nipo dilemma kati ya kozi hiyo na engineering ya umeme
0 Reactions
2 Replies
813 Views
http://www.tcu.go.tz/images/documents/Revised_Almanac_2018__Public_Notice__-ALK_Track.pdf
2 Reactions
29 Replies
8K Views
Wana Bodi, wakati naanza Chuo kikuu degree yangu, nilitamani sana kuwa Lecturer ila sasa, nimegraduate na ufaulu mdogo ambao kimsingi hautoshi kuruhusiwa kufundisha chuo kikuu, bidii ya masomo...
2 Reactions
72 Replies
13K Views
Habari zenu wadau!Me ni mwalimu wa sayansi pamoja na computer yaan ICT, nafundisha chemistry, biology na ICT kwa level zote yaan O & A level, pia nafundisha hesabu kwa O level. Natafuta shule ya...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wana jf,naombeni ushauri kuhusu kozi ya pharmacy ya mwaka mmoja kwa ngazi ya cheti...je ajira zake ziko vipi na upatikanaji wake ukoje?kwa ambaye ana uelewa,ushauri please!
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jamani
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari za majukumu wadau naomba msaada nimepoteza vyeti vyangu vya kidato cha nne na sita nipo Kahama naanza na process gan hadi kuvipata? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
15 Replies
4K Views
NIT
Msaada Unaweza uka apply bachelor degree of education with mathematics and ict kma umesoma Hkl? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna hili swala la wizi ndani ya campas ya mlimani. Mwanzoni nilikuwa nalisikia lakini nilikuwa nalipuuzia as nilikuwa nadhani ni carelessnes ya wahusika. Hatimaye jana yamenikuta! Jana mnamo mida...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Unaweza Ku apply computer science kama umesoma hge Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wadau.. nipo kwenye research ndogo kuhusu hostel za sinza na mwenge.. ni vizuri nikipata connection ya wanachuo wanaoishi huko.. au waliowahi kuishi hizo hostel.. hata hostel za jirani na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natumai hamjambo Ndugu wanajukwaa la Elimu wenzangu nahitaji kupata msaada wa namna ya kupata nakala ya kitabu(soft copy) ya kitabu cha Ramsden Advanced Chemistry,Kama kuna mtu anaweza kupata.Au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye uhitaji wa proposal development and thesis/dissertation writing please check me through 0676178939
0 Reactions
1 Replies
581 Views
Jamani vp matokeo ya waliochaguliwa tayar?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom