Mimi ni mhitimu wa Diploma ya Water supply engineering kwa ufaulu wa GPA ya 2.4,Lakini napenda kujiendeleza nisome elimu ya juu degree kwa course inayohusiana na mambo hayo.
sasa naombeni kujua...
Katika pitapita yangu leo kwa mara nyingine nikitokea jijini nimepita maeneo ya chuo cha kilimo(Sokoine university of Agriculture) Morogoro.Mbali na kilimo kama ilivyo title ya chuo wanatoa coarse...
Kwa wana Jf mnao wajua wa tanzania ambao ni vichwa walio hitimu elimu zao za juu, kuanzia na G.P.A za 4.4 up to 5.0 na sasa ivi wako wapi na wanafanya nini, na Je? G.P.A zao zina impact katika...
Wakuu mimi ni 1st year UDSM/COET.
Kama title inavyojieleza naomba nifahamishwe sehemu za kwenda kupata msosi pale mabibo hostel,siwezi kaa campus hata nikipangiwa napenda kaa mazingira mbali na...
Salamu wanajukwaa husika na kichwa cha habari hapo juu nilikuwa naomba msaada au taarifa ni lini result slip za mwaka huu za form six zitatoka lini. Maana wengine kwenye kujiunga na jeshi...
Ulijisikiajeee mtu ambayee ulipata ujumbe kama huu ...baada yaku felii kidato cha nne ...afu ukiangalia wanao kwambiaa watoto wao wamepigaa vizuriii...
Habari!
Mimi in mhitimu wa kidato cha sita 2018 na nimefanikiwa kupata 1.7
G/Studies E
BAM E
Economics D
Commerce A
Accountancy B
sasa napenda kuuliza je naweza kupata course ya Bcom in Accounting...
Elimu ya Chuo Kikuu ni moja ya malengo ya wanafunzi wengi shuleni ambayo pia huhesabiwa kama moja ya kilele muhimu cha safari ya kielimu. Nchini Tanzania elimu imeganyika katika mtindo wa elimu ya...
VIjana mlio maliza form six au pre first year karibuni chuo chetu ni kizuri sana japo ukija na moyo wako mwepesi tunaeza kuzika kabla ya muda wako
Karibu chuo chetu unaeza ukaamua kusoma au...
THE DOG IN KIVULU by Ralph Bitamazire.
The dog in Kivulu,
Thin, bony and yawning;
The dog in Kivulu,
Panting and squatting
Like its master.
The dog in Kivulu,
Barking at naked children,
Children...
Kuna mdau wangu anasoma TIA mbeya kaniambia amedisco sasa kachanganyikiwa balaa mana 1st semester kafeli masomo mawili kat ya matano na GPA 1.5, 2nd semester kafel masomo matatu kat ya matano na...
Habarini wote.
Naomba kwa wale watakaoguswa wanisaidie ushauri. Kuna mtoto wa jirani yangu kapata nafasi ya kwenda kwenye vyuo viwili. Kapata Dar es Salaam Institute of Technology kozi ya...
Jamani wapendwa naombeni mnisaidie kujua tofauti ya courses hizo za afya kwa ngazi ya diploma
*Ordinary diploma in clinical medicine
*Ordinary diploma in pharmaceutical sciences
*Ordinary diploma...
Nilifanya application ya vyuo nikafika hadi mwisho wa admission process ila nimesahau pasword nikaingiza user name,m pesa verification code,namba ya sim niliyotumia na email ili kupata pasword...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.