Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani wapendwa naombeni mnisaidie kujua tofauti ya courses hizo za afya kwa ngazi ya diploma *Ordinary diploma in clinical medicine *Ordinary diploma in pharmaceutical sciences *Ordinary diploma...
0 Reactions
0 Replies
430 Views
Nilihitimu degree 2015 art.. Matokeo yangu ya kidato cha nne sikufaulu masomo vyema mawili , hesabu na historia... Baada ya hali ya ajira awamu hii kuwa kama tumesuswa hivi nataka nirudie mitihani...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za muda huu Wapendwa wanaJF , samahanini Sana, Naomba mnisaidie kwa yeyote Anayeijua Shule ya Sekondari binafsi ambayo Ada yake iko kuanzia Milioni moja kushuka chini, Anijuze mana nina...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nafahamu vyuo vikuu ni vichache nchini na kila mtu anapenda kusoma chuo kikuu. Lakini kama wewe au familia yako hamna uwezo wa kulipa kwa wakati tafadhali sana usichague kwenda kusoma Vyuo vikuu...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu naombeni anaefahmu namna ya kupata VISA ya Panama maana hawana ubalozi nchini kwetu Tanzania
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwisho wa offer hii ni 15 sep 2018 .... ...kwa koziiii ya.. 1) HUMAN RESOURCE kwa degree 2) I T...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia NECTA examiners report A level (especially kwa BIOLOGY,CHEMISTRY,GEOGRAPHY) . Kuna wakati nilipata kama za miaka miwili kwenye mtandao, bahati mbaya flash...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Dustan Shekidele, Morogoro BINTI wa Shule ya Msingi Chamwino amefumaniwa akiwa kimahaba na kijana mmoja aliyedaiwa kuwa ni dereva wa bodaboda mkoani hapa. Denti aliyefumaniwa (nyuma ya wa...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Jaman nina mdogo wangu yupo form 5 PCB anaitaji viatabu vya ngaiza sasa cjui na vipataje mwenyekujua na bei zake naombeni msaafa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau naombeni msaada kwa anayejua garama za MA open university anisaidie. Asanteni
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Ninaomba kuuliza kuhusu chuo wanachotoa masters ya transport economic/logistics/ or master ya procurement ...... Taarifa ninazozihitaji zaidi ni kuhusu gharama ya chuo; ubora wake na sehemu nilipo..
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kujuwa wakuu mwanafunzi aliemaliza kidato cha sita mchepuo wa CBG Anaweza ku apply course gan za afya ? Naomba jibu wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Certificate ya HEALTH MANAGEMENT ipo Mzumbe au wana toa tu Degree...??? Nina ufaulu wa Division Two O'Level Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
541 Views
Amani ni kitu cha muhimu sana katika maisha ya mwanadamu,na amani ya kweli hutoka ndani ya moyo.Lakini japo amani ya kweli hutoka ndani ya moyo,ila moyo huwa hauzalishi amani. Unaweza kuwa na pesa...
0 Reactions
5 Replies
905 Views
Wana jamii hv unaweza kuwa na diploma ya community development alafu ukajiunga na degree ya sheria Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa yeyote anae kifahamu viziri chuo kinacho itwa Al-MAKTOUM COLLEGE OF ENGINERING AND TECHNOLOCY Naomba anijuze ubora wa chuo au una weza kunichek 0718070205 ili anielekeze vizuri Sent using...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada anayejua sifa mpya za kufanya mtihani wa kidato cha sita 2017. Kuna dogo langu nilimpeleka private school ana C tatu na D kama tano hiv lakin amekataliwa kufanya mtihani kama...
0 Reactions
18 Replies
16K Views
Huu usemi niliusikia kutoka kwa Mange Kimambi wakati anapata Masters yake nchini Dubai. Nimeutafakari huu usemi na kuona ukweli ndani yake. Hivi wale wapendwa wetu wa bongo movie wangekuwa na...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Je vp kuhusu soko la ajira katika kozi ya pharmacy kwa ngaz ya diploma NA pharmacy ina sehem gan ambazo mtu anaweza kufanya kazi naomba ushaur Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu,nahitaji msaada wa mtu yeyote aliyepo kwadeo sec school-Kondoa-Dodoma.asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Back
Top Bottom