Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Samahani wadau, ninapata shida kwenye portal ajira kwani niki attach file inasema “The uploaded file exceeds the maximum allowed size in your PHP configuration size”...je ninatatua vipi ili...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Habarini kijana kaniomba ushauri wa kozi za kusoma kwa matokeo ya form four kwa matokeo haya biology B+, geography B, physics C, chemistry C, kiswahili C, English C, kiswahili C. Hana F wala D...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwa mara ya kwanza kusikia wagombea wa kiti cha uraisi mwaka 2015, wakijinadi kwa wapiga kula kuwania kiti hiko, maswali mengi yalitawala sehemu mbali mbali katika ubongo wangu baada ya kusikia...
0 Reactions
1 Replies
677 Views
Naomba msaada ili nimsaidie mtu. Kama matokeo yako ya A'level sio mazuri hapa nchi halafu baadae ukaamua kuendekea na masomo Ujerumani kwenye vyuo vizuri. Lakini ukatumia matokeo yako ya O'level...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Naomba kuuliza ivi NIT kuna kozi ya education na ikoje nipo kagera Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu zangu Habari zenu Napendelea kusoma ulaya, naomba mniunganishe na ma agent wa hzo ishu Ni watu gani hapa TZ watansaidia kwa uhakika na haraka?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu,..naomba msaada kwa anayefahamu kuhusu hilo swala la online degree ni vyuo gani vizur vinavyotoa hiyo kozi abroad.na pia je,mitihani yake huwa inakuwaje Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Tafadhali naomba kuuliza niko mkoani na nimeapply kupitia online hv kuna haja ya kutuma na hard copy?
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Jamani B+ unatakiwa uwe unapata marks ngapi at least kwa kila somo.. on average upate ngapi kwa kila somo upate B+ Approved Minimum Entry Requirements for Health Related Programme (Diploma...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Kuna habari kwamba walimu wastaafu shule za msingi wameanza kuvuta mkwanja wao. Wadau niambieni mafao ya mwalimu aliyefanya kazi miaka 20 pesa yake inakokotolewaje? Wengine bado hawajapata.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mtambo huo umegaunganishwa na Simu janja (Smart phone) ya Mkuu wa shule na msimamizi wa wanafunzi, Wanafunzi wawili wa kidato cha sita 2018 katika shule ya sekondari ilboru iliyopo mkoani Arusha...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu field kwenye hii programme ni wap hasa? Na je ajira zake zikoje maana elimu ya watu wazima siku hizi haipewi kipaumbele. Msaada kidogo hapa
1 Reactions
14 Replies
8K Views
Msaada wakuu kwa mwenye kukifaham chuo kizuri cha bei nafuu cha AFYA Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Ivi mtu ambae anafanya mtihan kama pc kwa mar ya kwanza (yaan hakufanya mara ya mwanzo akafeli then aka reseat) je anakuwa saw na yule aliefany mar ya kwanza then aka repeat ? Sent using Jamii...
0 Reactions
2 Replies
591 Views
ict
wana jf samahanini nilikuwa naomba mnijuze degree ya ict ni miaka mingapi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
543 Views
Wadau mwanangu ndo anajiandaa kuingia chuoni mwaka huu lakini pamoja na kwamba anatamani sana jeshi, bado hailewi anatakiwa achukue course gani ili baada ya kumaliza degree yake basi akitaka...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Maprofesa waliostaafu (60+) waliokuwa wanaendelea kufundisha kwa mikataba pale UDSM wamenyimwa kuongezewa mikataba, na wameanza kupigwa chini kama mchezo vile ha ha ha!!! hebu fikiria unamuona...
13 Reactions
154 Replies
24K Views
Habari zenu, ningeomba kushauriwa kuhusu hili.Mimi ni kijajana wa Tanzania niliemalizia masomo yangu ya primary na secondary nchini kenya, kwasasa nataka kujiunga na chuo kikuu kenya illa wasiwasi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
habari wadau, naomba msaada mahali pazuri pa kufanyia review class CPA kwa mkoa wa mwanza.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom