Kichwa cha habari kinajitosheleza sasa ninaomba ushauri wenu kunarafiki yangu alifanya mtihani wa kidato cha sita kwa mchepuo wa EGM akadondoka na kupata S ya GS na yeye anatiania ya kupacheti cha...
Wakuu naomba ushauri ,Mtu ni mwalimu wa ngazi ya stashahada lakini alisoma HGE kwa A -level na masomo anayofundisha ni HISTORY na Geography .
Na umefika wakati anataka kusoma ngazi ya...
Habarini wadau
Jamani nijuzeni kama hii kozi ya Air Ticketing inayotolewa katika hivi vyuo vya mitaani ina nafasi za ajira kweli hapa nchini kwetu au ndugu zetu wanaliwa hela tu za bure!??
HABARI ZA LEO WANDUGU!!!
MATOKEO YANGU NI div.iii (PCB)(SEE)respectively.
NAOMBA MWENYE UELEWA KUHUSU MIKOPO YA BODI..! HIVI NAWEZA KUPATA KAMA NILIFANYA ACSEE 2013 KAMA MTAHINIWA...
Sisi walimu Wa halmashauri ya wilaya ya siha tumechoshwa na vitendo anavyotufanyia afiselimu msingi Wa wilaya yetu.kila Mara ili ufanye kazi maalum au kuhama kituo lazima utoe kituo kidogo.hii...
Habari, wana jamvi. Naomba kujua ni vigezo gani vinavyoangaliwa katika kutoa status like International school, accademy, vipaji maalum.. nk na ni nani anaehusika kutoa na kumantain hizo status
- shule ipo mganza chato.
- mwl awe na uwezo wa kuwasiliana na wanafunzi kwa kiingereza.
- mwl wa kike atapata kipaumbele.
- kama upo mazingira jiran tuwasiliane.
- piga simu namba 0755098159...
Jamani Mimi ni mwalimu wa shule moja ya binafsi, nmefanya kazi mwaka mmoja na miezi mitatu sasa , lakini nnadai mishahara ya miezi 8 mpaka sasahv, naomba msaada njia ya kisheria jinsi ya kuzipata...
Hapa kuna wajuvi wa lugha yetu ya kiswahili ambao wanaweza kukupa maana halisi au tafsiri ya neno ambalo limekuwa likikutatiza kwa muda mrefu. Karibu uweke msamiati wako ili ufahamishwe maana...
Shule ya Sekondari namwai Wilayani Siha yapata tuzo kwa kupata mjongeo chanya matokeo ya kidato cha nne 2017.
Shule hiyo imepata shilingi milioni 2 kwa ajili ya motisha kwa walimu
Habari zaidi...
habari zenu wanajamvi! nimesikia tetesi kuwa kozi hizi zifuatazo kuwa zimerudishwa:
dip. ya ict with education
dip.ya education in primary school
dip.ya childhood.
kwa mwenye tunaomba tushee...
Hapa ni kwa ajili ya kufahamiana zaidi na kupeana taharifa mbalimbali kuhusu chuo kama vile accommodation na mazingira kwa ujumla, pia hata kukifahamu chuo kwa undani zaidi, bila kusahau kuwekana...
Habari wakuu
Kwa anayefahamu kwa mwaka wa masomo 2018/2019 veta wanafungua maombi lini anijuze kuna kijana anataka kwenda huko sasa hatujui kama wameshafungua maombi au bado
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.