Habari zenu wakuu.
Nilikuwa nafanya Application ya Chuo Kikuu Dodom(UDOM), nilikuwa nimefika kwenye hatua ya kulipa Application fee kwa njia ya mtandao simu(Tigo).
Nimelipia na nimetumiwa code...
Wapendwa Wapwa zangu,
Nimepitia historia nyingi za kikwetu (Afrika), zinaonekana kuwa Wazee wetu walikua na Kitu kinaitwa NGUVU UHAI ambayo iliwasaidia sana katika maisha yao ya kila siku kwa nia...
Habari GTs
1. Naombeni mnieleweshe maana ya NTA level 4,5&6 Tafadhari
2. Nijuzeni mwisho wa Ku apply diploma ni lini?
3. Vyuo bora vya kozi za afya kwa diploma ni vipi hapa Tanzania?
Ahsante
You can say it involves buying and selling stuffs, well you probably are true but what really business is?
Since I am not the only one who doesn't know, I am open to suggestions
Define business...
LUGHA YA ISHARA (BODY LANGUAE)- 1
UTANGULIZI:
Na Mummed Ibnul Islam
Kwa kadri tulivyokua tunakaribia karne ya 20, tulishuhudia uibukaji wa aina mpya wa wanasayansi jamii wajulikanao kama...
Mimi ni mwalimu wa primary nina mwaka wa tatu tangu nianze kazi
Nimeomba kusoma diploma ya ICT. Naomba kufahamu kutoka kwa wazoefu au wanaofahamu kama nitapata RUHUSA kazini au la
Amani ya bwana iwe nanyi.
Naombeni mnijuze ufahulu gani unaohitajika ili uweze kujiunga na shule ya Ilboru au Tabora boys.
Anayejua asisite kuniambia,siku njema.
Me nimesoma PCB na matokeo yangu siyo maxuri saba ila asante mungu na asanteni sana kwa kunisadia kwenye post iliyopita nimesha apply SUA nimepata two ya 10 matokeo yangu ni CCD ktk chem bios na...
Habari!
Napenda kuuliza ni muda gani huchukua hadi kutangazwa kwa waliochaguliwa kujiunga katika vyuo na course mbalimbali pia kujua allocation za mkopo kwa wanufaika?
Asante na karibuni
brothers and siters wa JF, Kama mtu amekosea kitu katika mchakato wa kuomba mkopo wa elimu ya Juu kwa mwaka 2018/19, anawezaje kurekebisha! Msaada tafadhali kwa anayejua au aliekutana na tatizo la...
Habari, Ikiwa ni mwanafunzi upo katika mchakato wa kuomba chuo kwa kozi za diploma ya clinical medicine na pharmacy tu basi nione PM nikupe utaratibu wa kujaribu bahati yako huenda ukajipatia...
wakuu nawasalimu!
Wakuu matokeo yangu hayaniruhusu kwenda degree (DEE) hivyo option iliyokuwepo ni diploma TU.
Hivyo basi nahofia Ku apply diploma kwani sitaweza kulipia Ada ambayo ni zaidi 1M...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.