Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kwa mwenye Kujua vyuo gani havitozi Ada ya maombi ya kujiunga? Nawasilisha
0 Reactions
7 Replies
6K Views
After Secondary School.. All your classmates have gone in different directions in the world. Some have completed universities and are now: Doctors, Engineers, Teachers, Pilots, Lawyers...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jamvi naombeni mwenye soft copy ya kitabu cha shamba la wanyama (ANIMAL FARM) anisaidie au anielekeze namna yakukipata.
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Habari zenu.. Nina mdogo wangu kamaliza mwaka huu diploma ya ualimu ila anasema ndoto yake haikuwa huko kwani ualimu alichaguliwa direct kutoka form four katika ile special program anataka kwenda...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Yaan mwaka huu d zako NNE za PCB na ingine yeyote isiwe ya dini huyo clinical office au clinical assistant pia pharmacy jamani ngoja twende mwaka huu mapema maana hawakaw kubadili mwakani
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Naomba msaada wenu ndg zang nin shida iyo pia nngependa kupat ushaur wenu ya course nliopangiwa ni stashahada ya uwalimu wa michezo je nin sahih?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi wahitimu wa kidato cha sita Kwa mwaka huu 2018/2019. Napenda kuwapongeza Kwa ufaulu mzuri na matokeo bora,Hongereni Sana. Napenda kutumia jukwaa hili kuwaalika vijana wote...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kwa waliomaliza miaka iliyopita form 4 mwaka huu wanaweza omba kozi Za afya serikalini maana sijaona Kikomo cha mwaka
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nisaidieni kujua tofauti ya bachelor science in business communication and information technology na bachelor science in information technology na ipi ni nzuri kuisomea ambayo ukimaliza ita kupa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati wa utawala wa awamu ya nne mtakumbuka ilifikia hatuwa watu wakawa wanasema vyuo vinamea na kushamiri kama uyoga lakini kupitia utaratibu mpya wa applicants kutuma maombi moja kwa moja...
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Moja kwa moja kwenye mada Nakumbuka nikiwa shule ya msingi miaka hyo ya 1999,ilikuwa baada ya mitihani ya kumaliza muhula tulikuwa tunaambiwa tulete sanaa zetu tulizo buni kwa lengo la kuongezewa...
0 Reactions
3 Replies
755 Views
Wakuu hii faculty inahusu nini?? Na applications zake ni wapi?? Ninaomba ufafanuzi kidogo kwa anayeifahamu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kuna ambaye anaweza kusaidia anipe mwongozo. Nahitaji kujua nchi ambayo kwa matokeo hayo anaweza kusoma udaktari MD
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Nilikuwa natafuta syllabus za kidato cha tano na sita Tanzania na nikafanikiwa kuzipata katika mtandao wa baraza la mitihani-NECTA. Lakini nimekutaza na katazo hili: "All rights reserved. No part...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimeikuta hii sehemu na kunishangaza, mtu anawezaje kununua kitabu kisichokuwa na maandishi ndani yake. Je! Ni jina la kitabu ndio liliowavutia wengi? Je! Ni mwandishi wa kitabu?
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Wasaalamu WanaJF!.. Ninaomba Msaada wa mawazo yenu katika Concept hii: "Capitalism Ideology in Tanzania Today" Nawasilisha!
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Baraza la mitihani nchini(NECTA)limetangaza Matokeo ya kidato Cha sita ambapo shule ya sekondari Kibaha imeongoza. ==== Baraza la Mitihani nchini (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato...
9 Reactions
196 Replies
39K Views
habari zenu wadau wa jukwaa hili.natumaini ni wazima Naombeni kusaidiwa ghalama za kufanya IELTS na center zao.nimekosa bahati kama mbili hivi za masomo nje ya nchi kwa kukosa IELTS certificate...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom