natanguliza shukraan nipo na washkaji hivi walimaliza kidato cha nne 2014,walipata D2 wakasoma foundation ,certificate na diploma hawa wanafunzi watafanya vipi?degree mana wamesoma bila vigezo...
Wanajf naomba kuuliza kuna kitu inanitatza et unapoambiwa signed application letter ambayo unatakiwa kuituma maybe kwa email au online system(soft copy)inabid hyo barua uifanyeje
Ndugu wana Jamvi nimekuwa katika wakati mgumu juu matokeo yangu ya kidato yenye grades. EED kwa hgk najiuliza niende open(foundation) au nijipange tena? Sitopenda matusi wala kashfa kama huna cha...
Kwanza naomba kutanguliza pongezi katika utendaji wako wa kazi katika kuboresha, na kuhimarisha hadhi ya ubora wa Elimu inayotolewa Tanzania kwa Ngazi tofauti. Andiko langu ni kukuunga mkono...
Habari za jioni wakuu, ninandugu yangu anasoma chuo kikuu nje ya Tanzania. Kutokana na vyuma kukaza nafikiria kumuhamishia nyumbani yaani Tz ila sijui utaratibu wa kufuata naomba mnisaidie...
Habari wana jukwaaa wa Jamii Forum
Hivi karibuni waziri wa utumishi @Mkuchika alitoa agizo kwa Wakurugenzi wa Halmashauri nchini kuto wazuia Watumishi wanapohitaji kuhama.
Kinachotokea kwa sasa...
Ipi ni nzuri kwa upande wa ajira kati ya diploma ya pharmacy na laboratory?
Zote nazipenda na naamini naweza kuzimudu au ipi inaweza fanya ukajiajiari kwa urahisi?
Asanteni na naomba mawazo...
Njoo Morogoro wilaya ya Malinyi iliyopo karibu na wilaya ya Ulanga,Kilombero na Ifakara mji nije Moshi vijijini, Moshi Manispaa, Rombo na Hai idara elimu sekondari mawasiliano 0655669079/0719576667
Hii ina maana gani: Two principal passes in Biology/Zoology and Chemistry and a pass in Physics/ Mathematics/ Science and Practice of Agriculture at the ACSEE. A candidate who does not have a pass...
Kichwa cha habari chahusika.
Binti mwenye two ya 10 HKL anaweza soma kozi gani nzuri bila kukutana na kikwazo kikubwa cha ushindani? (Kozi nzuri kwa watu wa arts) bila kusahau vyuo husika...
jamani ufaulu wa EDD kombi ya CBG unanitesa maana hata course ya kuchagua sipati wala chuo sijui ni chuo gani kitanifaa.
Ieleweke mimi sio mtu wa kusoma sana,naomba ushauri wenu kwa wazoefu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.