Kama nilivyo jieleza hapo juu .mm nmemaliza six mwaka huu kwa comb ya CBG kwa ufaulu wa Div 3 ambapo nina E ya chem pamoja na D mbili za geo na bioc
Sasa wa naombeni msaada za koz zeny tija za...
Me nimesoma PCB na matokeo yangu siyo maxuri saba ila asante mungu na asanteni sana kwa kunisadia kwenye post iliyopita nimesha apply SUA nimepata two ya 10 matokeo yangu ni CCD ktk chem bios na...
Wadauu kama mada inavyosema hivi kozi ya electrical& electronics eng. Pale arusha tech.wanafundisha fresh au miyeyusho tu na mazingira ya chuo yanaridhisha? Kwa wale wenye uzoefu naombeni ushauri...
Anayependa kuja Mkoa wa Morogoro wilaya mpya ya Malinyi mimi nije Moshi vijijini hasa kata ya kimochi au wilaya ya rombo,hai au siha idara ya elimu sekondari anitafute kwa namba hii...
Wajumbe hivi majuzi nimeambiwa na binamu yangu kuwa anasoma shahada ya kwanza Kampala International University tawi la Dar es Salaam. Binamu yangu huyu alifeli form 4 kwa kuscore division zero...
Salaam wanajamvi.....
Kama kichwa kinavyojionesha, Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo Tanzania (HELSB) na washirika wake pamoja na serikali wameamua kuwakata wanafunzi wanaonufaika na mikopo ya elimu...
Salama wakuu? Naimani kwa majaaliwa yake mola mko poa, mniruhusu nielekee kwenye mada!
Nmeuleta huu uzi mahala hapa kua uwanja wa majadiliano ya kina kuiangalia hii sekta ya elimu ni kwa vipi...
Nashauri wafanye kama ifuatavyo:
Wamwite na kumpa karatasi lake la majibu ya kiswahili, halafu wampe karatasi nyingine ya majibu aitumie kutafsiri sasa majibu yake kwenda kwenye lugha ya...
Ndio wandugu, kwa yeyote anayetatizika na suala hili zito la kufanya application za vyuo mbalimbali nipo hapa kwa msaada zaidi. Kwa wale mliopo Dar es saalm tunaweza kuonana moja kwa moja...
Wadau nisaideni kunijuza juu ya chuo ambacho kinaendesha course ya 3D animation kwa hapa tanzania(DSM).
Vyuo vingi nilivyotembelea vinaendesha course ya graphics design tuu.nawasilisha!
NB:Kama...
Wakuu naomba kwa wanaojua taratibu za kulipia online application kwa anayetaka kulipia hii fees ya kujisajili chuon SUA anisaidie process kwani nimejaza kwenye ile portal yao lakini nikishafika...
Bachelor of Veterinary Medicine: Hii ina maana gani tafadhali: Two principal passes in Biology/Zoology and Chemistry and a pass in Physics/ Mathematics/ Science and Practice of Agriculture at the...
Habari zenu wa jf, Nina mdogo wa Rafiki yangu wa form4 hawa waliomaliza juzi alifaulu kwa Division 3, kombi zote zimebalancy tatizo hajachaguliwa na pesa hana zakumpeleka private,anaomba ushauri...
wakat niko kweny daladala la gongo la mboto naelekea kumtembelea jamaa yangu pande za kisemvule kuna jamaa akawa anamuomba ushauri mwenzake..
huyo jamaa kasomea procurement sasa anamwambia...
Tanzania Association of Managers and Owners of Non-Government Schools and Colleges (Tamongsco) Secretary General, Benjamin Nkonya
Performance in science subjects has slightly improved in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.