Hakuna kitu kinaumiza kama kufanya jambo ambalo nafsi yako haifurahii,
Kama wewe ukiona damu tu kizunguzungu kwa nini uchague MD?
Kama wewe macho yako mabovu ya nini ujitese kusoma Computer...
Kwa wale ambao wamehitumu diploma mwaka 2018 ningependa tujuzane wamefikia wapi katika kuomba AVN binafi nimehitimu mwaka huu ila ktk kufnya application iyo ya AVN nikifika katika hatua ya...
Wakuu habari zenu...bila shaka Vyuma vinalegea taratibu..
Kuna dogo hapa jirani amemaliza CBG mwaka huu...
Sasa alikua ana dream za kusoma afya ya binadam,ila tunajua CBG walivyo pigwa pin hapo...
Tunaomba ,afisa elimu msingi Wa Halmashauri ya wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro achunguzwe.tumelalamika vya kutosha na vyombo husika vimemfungia macho muda mrefu.tumechoshwa na vituko na...
Hivi karibuni matokeo ya kidato cha 6 yametoka na kuna mikoa imeongoza kitaifa huku mkoa wa Kilimanjaro Ukiwa nafasi ya 6 kwa ufauli kulingana na walivyopanga wenyewe
Lakini ukiangalia madaraja...
Nina miaka mitatu kazini nataka kurudi nyumbani kama unataka kuja Morogoro wilaya ya Malinyi nije wilaya ya Hai,Rombo na Moshi vijijini idara elimu sekondari kama unapenda kulima ardhi yenye...
Wadau Naombeni masaada napitia chamgamoto katika kufanya maombi ya kujiunga na mwaka Wa masomo 2018/19 nimefungua account vizuri hadi nikalipa pesa ya maombiTsh 10,000/_ kupitia vodacom na...
wana taaluma mnakumbuka jamaa kutoka north Korea baada ya kupakwa kitu usoni alipo kuwa airport hakuchukua hata masaa sita kabla hajakauka?
ni juzi juzi tu muingereza kaingia ktk mgogoro na mrusi...
Hivi Tanzania kuna sera au sheria za kumlinda mtumishi yeyote awe wa serikalini au katika kampuni au shirika binafsi? Kama zipo je zinafuata au waathirika wakizihitaji zichukue hatua yake...
Ndg zang wapenz napend ku-share nanyi hli jambo kdg nikleng kpt msaad wa mawazo ushauri na msaad mwngne weny kfanan na huo.
Mm ni kjn umri miak 21 nlimalz "O"level 2016 na kupt div-one nlichguliw...
Heshima kwenu wakuu!
Ninaomba kupata maelekezo kuhusu utaratibu, gharama na mahitaji mengine katika kusoma CPA baada ya kuhitimu Shahada ya Awali ya Uhandisi.
Nawasilisha.
Nilimaliza form two mwaka 2012 nilifaulu ila sikueza kuendelea mbele , vp inawezekana nikafanya mthiani wa form four kama private candidate? Vipi na utaratibu unakuaje kama inawezekana? Shukrani
Sabakher Wadau; Nahitaj Kumpeleka Mdogo Wangu Hapo Akapige Diploma In Clinical Officer!! Mwenye Taarifa Naomba Anisaidie Yafuatayo;
1. Ada Kwa Mwaka
2. Fedha Ya Hostel
3. Mazingira Ya Chuo
4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.