jamani ndugu zangu naomba mnisaidie kuna ndugu yangu anataka kusomea software engineer je ili akasomee course hiyo anatakiwa afaulu masomo yapi ili aqualify kusomea kozi hiyo na vyuo gani vizuri...
Jamani please naulizia jinsi ambavyo naweza kumpata mdhamini wa kunisaidia kupata degree yangu ya pili..kiuchumi siko vizuri na Niko third year but I'm so eager to proceed with higher studies...
Mie nilisomaga community healthy ila baada ya kuona haina issue mwaka huu nimeomba clinical assistant yaan CA chuo cha maswa clinical office
Qualification zangu ni
Physics D
Chemistry C
Biology B...
Habari wadau wa JF,naomba kujuzwa juu ya iyo bachelor degree ya falcut tajwa apo juu interms of its contents, good varsity/college to take t,pia fulsa zake,Unaweza fanya kazi wapi(means...
Waungwana Mabibi na Mabwana, naomba sana kwa yeyote anayeweza anisaidie kupata kitabu kiitwacho Kesi ya Uhaini kilichoandikwa na Mnenge Suluja mwaka 1985.
Natanguliza shukrani zangu za dhati...
Ni mwezi sasa tangu zoezi la kuhakiki malipo ya wanafunzi Chuo kikuu cha Dar es salaam lianze, zoezi lilikua linaenda vizuri na kila mtu aliambiwa tatizo lake na kuweza kulishughulikia kwa wakati...
Waulize wote waliofanikiwa LEO Nini kiliwapata wakati WANAANZA walichofanikiwa LEO.
Kama Unafahamu Kuhusu GO-PRO CAMERAS zinazotumika Ulimwengu mzima utajua jinsi gani NICK WOODMAN alihangaika...
Form four nilipata
Bios- A
Phy - C
Chem - B
Tafadhali nilikuwa naomba uthibitisho kama nitapata chuo cha Lugalo cha clinical medicine... Au niapply chuo kingine.
salaam wapendwa;naomba msaada jamani kwa wale wanaofahamu vyuo vinavyotoa kozi za mafuta na gesi kwa hapa Tz; kwa shot kozi maana nipo kzn hvyo inabidi niwe natumia mda wa likizo kufanya hizo...
Hellow wadau naomba kujua vyuo vizir vya Uandishi wa habari kwa dar es salaam na ada zake zipoje kwa ngazi ya Certificate nina mdgo angu anataka kuanza kozi hiyo please msaada wenu tafadhali.Ahsanteni
Mambo vipi wakuu, naombeni msaada juu ya hili. Nina rafiki yangu mmoja kamaliza form 6, 2017 na akawa amepata CCB ya Pcb na alikuwa anatamani sana kusoma chuo cha KCMUCo, ila kutokana na lile...
Habari za kazi wanajamii? Mm ni muhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam katika kozi ya bachelor of science with education majoring in PHYSICS and CHEMISTRY.Niko mbele yenu kuomba kama kuna shule...
Habari zenu waungwana naomba kufahamishwa kama kichwa cha habari kinavyojieleza na pia ningependa kufahamu changamoto zake hasa za kujifunza....aksanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna cozi mpya imenzishwa Arusha technical college mwaka jana ambayo Ni "Pipe works,oil and gas engineering", Kwa nchi yetu Ni chuo cha kwanza kutoa hiyo course kwa ngazi ya diploma, SWALI, Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.