Morning Guys,
Natafuta sehem wanazo fundisha chinese kwa hapa Dar es Salaam.
Please mwenye kufaham na anijuze.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
First Law
Inertial
an object at rest will stay at rest and an object in motion will stay in motion with the same speed and direction unless acted upon by unbalanced force.
kwa kiswahili
kitu...
Wadau nawasalimu wote,,
naomba msaada wa kujuzwa kama mtu umesomea nje na umeshafanya equivqlence hapa Tanzania je ukisubmit result slip yako na hiyo equivalence wakati wa kuapply AVN utaipata...
Habari ya asubuhi wakuu,
Naomba ushauri ,ni bank gani nxuri na Kwa kigezo kipi kuangalia kabla ya kufungua ..asante Kwa ushirikiano wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau wa JF naomba kueleweshwa kuhusu utofauti wa fani zitolewazo PASIANSI WILDLIFE TRAINING INSTITUTE na COLLEGE OF AFRICAN WILDLIFE MANAGEMENT (MWEKA). Nini tofauti kati ya askari wa...
Wanajamvi mdogo wangu anahitaji msaada wa ushahuri kuhusiana kozi zifuatazo:
1.Bsc in telecomunication engineering
2.Bsc in soft ware engineering.
3.Bsc in Computer science.
4.Bachelor in public...
wakuu nimejaribu kuchagua hii kozi ya BVM i mean bachelor of veteran medicine pale SUA.
Je hi kozi inakuaje hapa tz kwani nahtaji kuingia huko.
Na je ajira zake zipo za kueleweka ama unaweza...
1.Mpe Mungu nafasi akupe siri ya kipawa/ujuzi unao ambao ndio kusudi ulilobebeshwa katika Ulimwengu Huu.
Mwenye kukiweka kipawa/ujuzi huo ni Mungu. Kaa vizuri na utengeneze na Mungu wa Mbinguni...
Kichwa cha habari kiko wazi hebu toa mifano ya kweli na sahihi popote duniani inayothibitisha kwamba ni hatari kuwa sahihi wakati mamlaka haiko sahihi kazi kwetu
Habari za siku ndugu zangu.
nahitaji kufaham ni jinsi gani utajua umeitwa kwenye usahili kupitia utumishi webiste au ajira portal?
Wanapiga simu? Unatumiwa email? Au kuna njia nyingine ndani ya...
Habari wana jukwaa!
Kwa yeyote aliyesoma hiyo course hapo juu, kwa Tanzania ajira zake zipo vipi? Na ukitaka kuendelea na bachelor utasoma ipi? Na je nchi yetu ina uhitaji mkubwa na hawa...
Kichwa cha habari kiko wazi hebu toa mifano ya kweli na sahihi popote duniani inayothibitisha kwamba ni hatari kuwa sahihi wakati mamlaka haiko sahihi kazi kwetu
Nahitaji kufahamu vitu vya muhimu kwa mtu ambaye anaingia mwaka wa kwanza kuchukua degree ya IT vitu vya msingi ambavyo anatakiwa kuwa navyo anapoanza chuo ili nianze kujipanga mdogo mdogo ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.