Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wakuu, Naomba kujua hivi mtu aliyesoma diploma ya dental therapy/ Dental Technology anaruhusiwa kufungua clinic yake mwenyewe kwa kutumia cheti chake? Naomba pia kujua changamoto kubwa au...
1 Reactions
19 Replies
922 Views
Nijue tu Chuo hiki kiko wapi na kiko chini ya wizara gani inatoa course gani Kwa muda gani na wapi.
0 Reactions
3 Replies
339 Views
Habari WanaJf, Nimekumbuka Wakati huo shuleni mwalimu anakuchapa viboko, we ukilia anakwambia aaah unanizomea sindio😂😂 Na wengine ukishika tu nafuta naanza mwazo, iyo sihesabu.. Daah maticha bhn...
6 Reactions
62 Replies
1K Views
Wana jamvi kwema, Leo nimeona niwajulie hali hawa ndugu zetu wenye BSc na BA na degree nyinginezo, vipi maisha yanaendaje baada ya kuhudhurishwa na kutunukiwa Shahada yako. Vipi mategemeo uliyo...
14 Reactions
239 Replies
5K Views
Naam nawasalimu wahenga wenzangu tuliomaliza elimu ya msingi mwaka 1987 Ilala Boma hapa DSM. Karibuni tukumbushane enzi zile za mwalimu Mkuu Lutambi (Kamchape), mzee Mangosongo, mwalimu...
5 Reactions
11 Replies
443 Views
Wakuu habari na dogo langu hapa (mtoto wa mama mdogo), Matokeo yake ya kidato Cha nne hayajawa mazuri sana kwani kapata division four. Hivyo mama mdogo kanitafuta nitoe ushauri juu ya fani ipi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari naomba kufahamishwa juu ya course ya Laboratory assistant inayotolewa na vyuo vya ufundi (VETA) ni mahala gani watu wanaosoma hi kozi hii Wanahitajika. Pia sifa za watu wanaosoma kozi hii.
3 Reactions
13 Replies
10K Views
Habari wana JF. Naomba kujua vyuo vinavyofundisha kozi ya usanifu wa majengo (Architecture) kwa ngazi ya Diploma au Certificate. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
603 Views
Ninajiuliza na naomba kuelimishwa kwa kupewa faida na hasara. Kipi bora kwa mtoto aliyemaliza kidato cha nne. Kumpeleka kidato cha tano au kumpeleka Chuo kwa elimu ya juu. Nawakilisha.
0 Reactions
42 Replies
16K Views
Naombeni msaada wa mimi mwenyewe : ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21 nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha nifanyaje sasa ili niweze kwenda...
12 Reactions
97 Replies
3K Views
Habari zenu waungwana, binafsi leo nimeumia sana baada ya kugundua licha ya kuspend miaka mingi kuitafuta elimu kwenye hizi shule zetu za serikali, leo ndio nimegundua kumbe Mimi sikwenda shule...
4 Reactions
17 Replies
491 Views
Habari wakuu Kuna dogo kamaliza form six mwaka huu alikuwa anasoma PGM Anatamani kusoma Hiyo coz pale UDSM inawezakana?
0 Reactions
9 Replies
540 Views
Je, kuna mdau yeyote anaifahamu au alishasoma ama kupitia shule hiyo na yupo humu, au ni Mimi pekee mwamba
1 Reactions
2 Replies
318 Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji msaada wa maelezo wa uwanda wa ajira kati ya kozi Bsc in Environmental health science na Bsc in Environmental Science and managememt. Je ipi ni bora?
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Hivi ukimaliza form six ukapangwa mafunzo JKT na hujaripoti mafunzoni je nikiomba mkopo HESLB nitapata? Naomba mwenye kufahamu hili anijuze. Natanguliza shukrani
3 Reactions
67 Replies
2K Views
Selection za mwaka huu sijui wamezingatia nini, unakuta mtoto alijichagulia masomo yake ya Arts mara anapelekwa Science, na aliyechagua masomo ya science. Mdogo wangu hana raha hapa alichagua...
2 Reactions
9 Replies
599 Views
Call for Application The General public is hereby informed that, the Government of Hungary has opened new Stipendium Hungaricum Scholarships to eligible Tanzanian Nationals to pursue undergraduate...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Anonymous
Kuna kero ya mfumo wa Gesi kuvuja katika eneo la darajani Ubungo Interchange (Fly-over) ambapo mkondo wa bomba la gesi umepita imekuwa kero kwa wanafunzi hasa wa Chuo cha Maji na wafanyabiashara...
0 Reactions
0 Replies
206 Views
HOW OLD ARE YOU? (UNA MIAKA MINGAPI?) Katika somo hili fupi tunajifunza jinsi ya kuuliza umri wa mtu Tuanze ...... Kuuliza umri wa mtu huwa tunasema: How old are you? Tamka ‘HAU OULD A YUU? –...
0 Reactions
4 Replies
298 Views
Back
Top Bottom