Hivi karibuni TAMISEMI wametoa chaguzi za kidato cha tano, na za Vyuo vya Elimu ya Ufundi.
Kwa upande wa kidato cha tano, tarehe wametoa mapema, sijajua upande wa joining instruction, ila upande...
Jamani naomba ushauri kati ya hivyoi vyuo kipi ni Bora na pia Nina mpango wa kwenda degree na nilisikia kuwa kama unataka kuendelea na degree ni Bora uende chuo Cha private je ni kweli?
'Sio siri tena' hatusemi "Is no secret again". Ndugu zangu, katika post hii niwakumbushe jinsi ya kusema "Sio siri tena"
Nimeamua niwakumbushe baada ya kumsikia mtu fulani akisema, "Is no secret...
Habari wakuu,
Poleni kwa majukumu.
Nilikuwa naomba msaada kuhusu kupata AVN kwa wale wa Diploma wanao apply mkopo HESLB.
Nimeshafanya usajili NACTE, ila kila nikijaribu kuendelea na hatua...
Naweza kubadilisha jaman form four nlipata iv geo c hist c bio c kisw c eng c civs D chem d phys D MATH F naomben kujuzwa. Naombe kujuzwa kuhusu kubadili kozi maana ngazi ya chet nmesoma human...
Naombeni ushauri,
Ufaulu wangu wa form IV ni Dvs IV_27
B/math-F
Eng-C
Kisw-C
Hist-D
Geo-D
Civ-D
Bio-D
Je, ni kozi gani naweza somea ngazi ya cheti na yenye manufaa mbeleni.
"NISHAURI" TUNASEMAJE KWA KIINGEREZA?
Katika post hii naomba niwakumbushe msamiati sahihi wa "nishauri", yaani mtu akupe ushauri.
Kusema "nishauri" huwa tunasema "Advise me".
Narudia, "Advise...
Wakuu naombeni mnijuze kozi gan ya afya ambayo nikisoma diploma sitosota mtaani ....maisha magumu mno. ..ambayo nitaajiriwa haraka
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kuna wanafunzi ambao wanaapply vyuo kwa sasa kwa upande wa afya kwa kuweka machaguo yao, lakini wengine kutokana na kutaka kwenda vyuo vikubwa wanajaza tu bila kuangalia ufaulu wao.
Angalia mfano...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nina swali kuhusu hii Bsc in Data Management inayotolewa pale Open University of Tanzania.
1- Competency, unaweza kutoka ukiwa competent enough kwa...
Jamani me ninauliza kama inawezekana mtu kusomea udaktari kwa kutumia cheti cha form four (yaan kuanzia diploma) na baadae kupata udaktari bila usumbufu.
Na kama inawazekana anatakiwa asomee...
Kuna wimbi la watu wengi wanaelezwa juu ya nafasi za ufadhili wa masomo ya juu kwa ngazi tofauti na mashirika mbali mbali.
Mara nyingi kwa kutumia lugha za biashara mfano
"Scholarship...
Wazungu wanapenda saana kusoma vitabu ndio maana wana akili sana.
Kuna siri kubwa katika kusoma.
Lakini mtu mweusi ukimpa kitabu alafu ukamwambia kitabu hiki kinaweza kufanya uwe tajiri mkubwa...
Hili ni swali kutoka kwa mmoja wa wafuatiliaji wa ukurasa wetu kutoka mkoani Mara.
Ukitaka kusema ni zamu yako, huwa tunasema “It’s your turn…”.
Kuna baadhi huwa wanasema “It’s your duty….”. Hii...
Wakuu habari za mchana, moja kwa moja kwenye maada. Ni kwa muda mrefu Sasa kumekuwepo na utaratibu wa kuziita shule za watanzania (wananchi) kuwa ni shule za serikali jambo ambalo naliona siyo...
Habari wana jf, nina mdogo wangu amemaliza kidato cha nne ,2023 na kupata div 1 ya 15. Kuhusu ufaulu masomo yote ya sayansi amepata B.
Aliomba chuo kupitia utaratibu wa shule ule wa kuchagua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.