Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wana JF naomba kuuliza kuhusu state of university of Zanzibar sana sana kwenye course kama doctor of medicine na a dental surgery.
2 Reactions
48 Replies
4K Views
Hivi karibuni TAMISEMI wametoa chaguzi za kidato cha tano, na za Vyuo vya Elimu ya Ufundi. Kwa upande wa kidato cha tano, tarehe wametoa mapema, sijajua upande wa joining instruction, ila upande...
0 Reactions
2 Replies
448 Views
Naomba kusaidiwa shule za bweni wavulana o level zenye ada nafuu
0 Reactions
1 Replies
941 Views
Jamani naomba ushauri kati ya hivyoi vyuo kipi ni Bora na pia Nina mpango wa kwenda degree na nilisikia kuwa kama unataka kuendelea na degree ni Bora uende chuo Cha private je ni kweli?
1 Reactions
7 Replies
646 Views
'Sio siri tena' hatusemi "Is no secret again". Ndugu zangu, katika post hii niwakumbushe jinsi ya kusema "Sio siri tena" Nimeamua niwakumbushe baada ya kumsikia mtu fulani akisema, "Is no secret...
3 Reactions
1 Replies
489 Views
Naomba kujua nitatambuaje dira za dunia ie nikisimama mahali popote nitajuaje kuwa West ni huku, East North and South.
2 Reactions
28 Replies
9K Views
Habari wakuu, Poleni kwa majukumu. Nilikuwa naomba msaada kuhusu kupata AVN kwa wale wa Diploma wanao apply mkopo HESLB. Nimeshafanya usajili NACTE, ila kila nikijaribu kuendelea na hatua...
1 Reactions
2 Replies
975 Views
Naweza kubadilisha jaman form four nlipata iv geo c hist c bio c kisw c eng c civs D chem d phys D MATH F naomben kujuzwa. Naombe kujuzwa kuhusu kubadili kozi maana ngazi ya chet nmesoma human...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Naombeni ushauri, Ufaulu wangu wa form IV ni Dvs IV_27 B/math-F Eng-C Kisw-C Hist-D Geo-D Civ-D Bio-D Je, ni kozi gani naweza somea ngazi ya cheti na yenye manufaa mbeleni.
2 Reactions
11 Replies
2K Views
"NISHAURI" TUNASEMAJE KWA KIINGEREZA? Katika post hii naomba niwakumbushe msamiati sahihi wa "nishauri", yaani mtu akupe ushauri. Kusema "nishauri" huwa tunasema "Advise me". Narudia, "Advise...
5 Reactions
9 Replies
450 Views
Wakuu naombeni mnijuze kozi gan ya afya ambayo nikisoma diploma sitosota mtaani ....maisha magumu mno. ..ambayo nitaajiriwa haraka Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
3 Reactions
71 Replies
27K Views
Kuna wanafunzi ambao wanaapply vyuo kwa sasa kwa upande wa afya kwa kuweka machaguo yao, lakini wengine kutokana na kutaka kwenda vyuo vikubwa wanajaza tu bila kuangalia ufaulu wao. Angalia mfano...
2 Reactions
23 Replies
14K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano. Nina swali kuhusu hii Bsc in Data Management inayotolewa pale Open University of Tanzania. 1- Competency, unaweza kutoka ukiwa competent enough kwa...
3 Reactions
51 Replies
13K Views
Jamani me ninauliza kama inawezekana mtu kusomea udaktari kwa kutumia cheti cha form four (yaan kuanzia diploma) na baadae kupata udaktari bila usumbufu. Na kama inawazekana anatakiwa asomee...
0 Reactions
38 Replies
15K Views
Kuna wimbi la watu wengi wanaelezwa juu ya nafasi za ufadhili wa masomo ya juu kwa ngazi tofauti na mashirika mbali mbali. Mara nyingi kwa kutumia lugha za biashara mfano "Scholarship...
2 Reactions
1 Replies
520 Views
Wazungu wanapenda saana kusoma vitabu ndio maana wana akili sana. Kuna siri kubwa katika kusoma. Lakini mtu mweusi ukimpa kitabu alafu ukamwambia kitabu hiki kinaweza kufanya uwe tajiri mkubwa...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Kutoka teacher grade 2B ni cheo kipi kinafuata?
1 Reactions
33 Replies
663 Views
Hili ni swali kutoka kwa mmoja wa wafuatiliaji wa ukurasa wetu kutoka mkoani Mara. Ukitaka kusema ni zamu yako, huwa tunasema “It’s your turn…”. Kuna baadhi huwa wanasema “It’s your duty….”. Hii...
1 Reactions
5 Replies
279 Views
Wakuu habari za mchana, moja kwa moja kwenye maada. Ni kwa muda mrefu Sasa kumekuwepo na utaratibu wa kuziita shule za watanzania (wananchi) kuwa ni shule za serikali jambo ambalo naliona siyo...
1 Reactions
14 Replies
403 Views
Habari wana jf, nina mdogo wangu amemaliza kidato cha nne ,2023 na kupata div 1 ya 15. Kuhusu ufaulu masomo yote ya sayansi amepata B. Aliomba chuo kupitia utaratibu wa shule ule wa kuchagua...
1 Reactions
1 Replies
548 Views
Back
Top Bottom