The energetic used by the teacher to impart knowledge and skills to 21th century children is indirectly proportional to the content they pay back.....🤔🤔🤔mtu za physics tu ndio zicomment mtu za...
Ni kuhusu upandishaji wa vyeo kwa watumishi wa umma unaoendelea mwaka huu,ni kazi nzuri ya serikali yetu kongole sana Rais wetu..
Swali ni je kuna watumishi walioko masomoni mpaka sasa vipi nao...
Nilisoma clinical medicine mwaka 2018/2019 nikaishia level 4 sababu ya changamoto za ada. Sasa nataka nirejee masomoni Ila nahitaji kusoma radiology .
Swali? Je inaruhisiwa kwenda chuo kingine...
Wakuu good day, nauliza wapi hapa jijini Dar mtu unaweza kupata course ya English intermediate and advance hususani kwa mtu aliyeopo kazini?
Nilikuwa najua British Council pale Posta lakini...
Dirisha la maombi ya vyuo vikuu linafunguliwa tarehe 15 mwezi huu. Kwa tunaotarajia kuomba INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT(IFM) tukutane hapa tujadili mawili matatu, pia wenye uzoefu na Chuo hiki...
Habari zenu wakuu
Mimi ni Mwanafunzi hapo chuo Chetu kisiopendwa na wengi ( udsm) napiga Computer Engineering
Ila nataka niji train much hapo kwenye masuala ya development nilikua naomba...
Wakuu,
Najua kuna watu wamewahi kusoma Bachelor of Commerce in Human Resource Management UDSM.
Hivi mtu aliyesoma mchepuo wa HGL anaweza kusoma hiyo kozi UDSM.
Habari wana JF.
Leo tupate kufahamishana kwa wale wasiojua na kukumbushana kwa wale wenye kujua haya yafuatayo kuhusu mto Amazon,ambao unapatikana Amerika ya kusini:
Mto Amazon inasemekana ndio...
Kuna jirani yangu ametoka safari kumfata kijana wake Kipindi Cha likizo, amejikuta akilazimishwa na walimu kuwa mtoto aendelea na masomo Kipindi hiki cha likizo.
Kwenu wadau, naombeni mwongozo...
Jamani Kuna mwanangu ana 4 ya 27, akasome kozi gani ambayo mbele zipo Ajira na kitu ambacho kazi rahisi kupata ata kujiajiri?
Matokeo yake yako hivi:
Math: F
History: D
Civics: D
Kiswahili: C...
Waalimu UDOM wanalazimisha wanafunzi kutoa hela ya mahafali. Mahafali yenyewe siyo ya lazima tunajua mahafali ya chuo ndo ipo November na siyo lazima nifanye.
Lakini baadhi ya walimu Wana taka...
Kwa kuthibitisha kuwa elimu ya kidato cha sita bado inapewa kipaumbele Serikali imetoa tangazo la ajira za mawakili na makatibu wa sheria ila kwa wale walio na vyeti vya form six. Soma tangazo...
Wakuu poleni na majukum,
Nimeombwa ushauri hapa nikaona nililete kwenu maana humu kila kila aina ya wabobezi.
Huyu kina anataka asome kozi za afya na matokeo yake ni haya :
PHYSICS. " F"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.