Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habarini za saivi wakubwa wote wa JF mimi ni kijana niliyefanya usaili wa kusoma mhula wa masomo wa 2018 VETA DSM lengo langu nisome electrical installation lakini sikubahatika kuchaguliwa kwenye...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari za Mchana Ndugu! Naombeni kuuliza..Hivi ili mwanafunzi uliyesoma Engineering uweze kusoma Masters inahitajika uwe na G.P.A ya Ngapi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani kuna mtu kauliza kwenye group la whatsapp kuwa ana mtoto kamaliza kidato cha nne 2016 na hakupangiwa shule alifaulu kwa ufaulu wa three ya 25 masomo ya arts. Mzee anadai ana laki nane...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Hapa natanguliza tu shukuran kwa atakaenisaidia Kwa huyu ndugu yangu (sio mimi) Hivi kwa matokeo haya ina maana ndio anarudia mwaka mzima somo moja au inakuaje?? maana haelewi na mimi sielewi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Examining the influences of classroom characteristics and teacher- student relations on the student academic achievement. Asanteni.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimekuwa nikisikia neno hili likitumiwa na watu wengi wakiwa kwenye hali tofauti. Wengine hulitumia wakiwa na mawazo sana, wengine wakiwa na hasira, wengine wakiwa na huzuni n.K...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Katika harakati za kutafuta ajira nimepata kazi ya kufundisha English Medium, kwa kuwa siwezi kuongea kingireza nikachagua kufundisha Maths na ICT, sasa bwana ikaja ikafika siku ya kushika zamu za...
8 Reactions
113 Replies
14K Views
Wakuu salamu ziwafikie popote mlipo. Kijana wenu nina shida sana ya topic ya kiuchumi ambayo data zake zipo tayari ili niifanyie dissertation.. Nataka yenye data kabisa na mahali nitakapo pata...
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Habarini wa jamvi,, kuna haka kamsemo(quote) ambacho kinasema EDUCATION IS A KEY OF LIFE kwa maana elimu ni ufunguo wa maisha.Kwa mantiki ukitaka kuwa na maisha mazuri lazima...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Wadau Nimeulizwa swali hilo huko mtaa wa saba, hivi mwanao akipata 1/43 katika mtihani kuna haja ya kuendelea kumlipia ada? Tusaidiane majibu tafadhali sana.
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Nimepata ada leo vipi wadau niende COICT-UDSM au nisubiri mwakani? Nilichaguliwa Bsc in electronics
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amewataka watendaji wa wizara hiyo kubaini changamoto walizonazo katika idara zao na kuzitafutia ufumbuzi wa kudumu ili kudhibiti...
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Chap chap niko wilaya ya arusha dc mjin kabisa
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Postgraduate Diploma ya Procurement and Logistics Management, TIA, masomo yameanza rasmi tarehe 20/11/2017...Main hall,,
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Kwanza kabisa nawapongeza wahitimu wa vyuo vikuu kwa kumaliza moja ya hatua za muhimu katika safari ya mafanikio, just imagine you have stay at class for 16yrz, 17yrz na wenzetu Madaktari ni 18yrz...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
Wanafunzi wote wamefurahia kufukuzwa kazi kwa loan officer huyo aidha amemuagiza akabidhi ofisi ikiwa imekamilika taarifa zote muhimu na kama itatokea amefanya janja janja zozote za kuchanganya na...
3 Reactions
68 Replies
9K Views
Habari za muda huu wakuu. Mimi nipo mwaka wa pili UDSM naomba kuuliza kama kuna aliewahi kufutwa kwenye mfumo baada ya kuchelewa kulipa ada. Kusoma chuo bila mkopo ni mateso sana usajili unaisha...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom