Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habarini Wana JF. Kama Kati Yetu Ni Wafuatiliaji Wazuri Wa Maendeleo Ya Elimu Katika Jamii Ya Ulimwengu, Utaona Thamani Ya Wale Wenye Dhamana Na Taaluma Ya Kuelimisha Jamii (Walimu) Wanavyo Beba...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayejua kuhusu kozi hii ya LABOUR RELATIONS AND PUBLIC MANAGEMENT,ukisoma na kuhitimu kwenye ngazi ya diploma au degree unaweza kuwa kuajiriwa katika sekta ipi au unakuwa na wadhifa...
2 Reactions
15 Replies
10K Views
Msaada wa vyuo ambavyo vinachukua wanafunzi wa diploma na certificate intake ya mwezi wa tatu mwakani vilivyopo mkoa wa Mbeya, Iringa, Njombe na Katavi
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wana JF. Kuna mtu yoyote anaezijua shule nzuri zenye programu maalumu kwa wanaorudia kidato cha nne, kuanzia utaratibu wote mpaka bei nasikia ni affordable. Ahsanteni. Niko Dar es salaam.
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Naomba Masada Mim nasoma diploma in nursing namaliza 2018 mwez wanane lkn malengo yangu niunganisha nisome degree mwaka huo huo je nifanyeje ili nipate matokeo ya diploma haraka ili niombe degree...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
hivi mtu asipo fanya field anaweza kuomba kuirudia??
0 Reactions
3 Replies
865 Views
Wanajamvi yeyote anayeifaham iyo shule kitaaluma na sifa zake katika kumuwezesha mwanafunzi katika kuipata taaluma
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji sylabus ya somo la english o-level kwa aliye nayo anisaidie. Ni muhimu sana
0 Reactions
13 Replies
2K Views
A father left 17 ducks as asset for his Three Sons. When the Father passed away, his sons opened up the will. The Will of the Father stated that the Eldest son should get Half of 17 ducks, The...
7 Reactions
11 Replies
923 Views
Wana bodi, nchi ndio maana ina mikosi mingi, haisogei. Tatizo ni watunga mitaala, wasimamizi na watendaji wetu. Leo wife ambaye anafundisha darasa la tano geography, kaniomba nimsaidie...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mie kaka yenu nilipita advance nilikuwa nasoma PCB, kiukweli ni kati ya comb ngumu sana, nakuomba ukasome sana pia ni comb pekee yenye mitihani 11, NILISOMA NA JAMAA ALIKUJA NA DIV 1 pts 12...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu watanganyika na Zanzibar, nimeshtushwa sana na hili ingawa nilishawahi kulisikia sikia kuhusu muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar. Suala la utata na legitimacy ya muungano huu ni tete...
1 Reactions
26 Replies
8K Views
Kwa ambao ni wazoefu naombeni ushauri namna ya kuwasilisha kitu kwa kiingereza maana hali yangu ni mbaya sana. Yaan nawaza hadi sina hamu Nimechaguliwa Kuwasilisha kazi hiyo ndani ya wiki hii...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Hilo limefanyiaka papo kwa papo. Jamaa alikuwa na mkopo wa 20% akalalamika kwa Ndalichako, Ndalichako akaamuru hapo hapo apewe asilimia mia.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Enyiii watumishi wa wizara ya elimu, hususan Waziri, Angalieni vitu vya msingi kwanza katika sekta ya elimu, VITABU, VITABU, VITABU mh. huku shuleni walimu tunapata shida, hatuna vitabu, wanafunzi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Centre ipi ipo vizuri kwa dar es salaam?
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Hi every body! Naomba ufafanuzi hapa, ukitaka kwenda kusoma Kenya kwa level ya advance secondary ni sharti uwe na level ipi ya elimu ya hapa Tanzania? na ukisoma advance ya Kenya unaweza kujiunga...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Serikali kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu Sekonari (MMES) inatekeleza miradi mbalimbali ya uboreshaji wa miundombinu ya shule za sekondari ikiwemo ujenzi wa hosteli za wanafunzi wa kike ambao...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa? Tafadhali, kama uzi unavyojieleza, naomba msaada mwenye syllabus ya kozi zifuatazo zinazotolewa na vyuo vya VETA hapa nchini. 1. English language 2. ICT 3. Enterpreneurship 4...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Back
Top Bottom