Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hodi humu ndani,ok hope nimepokelewa!!jamani mwenzenu nimehamia tabata huko Kinyerezi,sasa nina mtoto wa kuanza shule,ni 3 years,nimeuliza shule nikaambiwa mpeleke tusiime,nikauliza why TUsiime,ni...
1 Reactions
32 Replies
16K Views
With reference to medical professional identify and discuss 20 factors that influence the choice of communication skills
1 Reactions
7 Replies
787 Views
Naombeni kuuliza kama kuna anaejua chuo kinachotoa Kozi ya ELECTRICAL INSTALLATION ngaz ya diploma kwa mtu alietoka VETA akiwa na VC3.
0 Reactions
12 Replies
14K Views
Moja nadhani imefika muda tuamue kua ipi itakuwa lugha ya kufundishia kuanzia awali mpaka vyuo vikuuu kama ni english au kiswahili. Juzi kati hapa mjin mbeya kulikuwa na mchucho katika shule ya...
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Katika msimu wa zao la korosho mwaka 2017/2018 wakulima wa Wilaya Tunduru watachangia shilingi 50 kwa kila kilo moja ya korosho na fedha zitakazopatikana zitaelekezwa katika kuboresha miundombinu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu salaam! Bila kupoteza mda nimeona kwenye taarifa ya habari kuwa serikali Imezindua shahada ya kwanza ya sayansi ya kijeshi! Je ni sayansi gani hii? Naomba kwa wanaojua anijuze na mimi...
1 Reactions
16 Replies
9K Views
Kama kichwa cha mada kinavyo jieleza ninaomba msaada wa mawazo kwa mwenye ufahamu nilichaguliwa TIA kwenye bachelor of accounting and finance nikaenda kufanya usajili nikapewa na namba ya usajiri...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kila mmoja wetu kwa namna moja ama nyingine kuna changamoto ambazo zinamkabili kuweza kupata mafanikio zaidi. Na hizo changamoto ndizo ambazo tunaziita kifungo cha umaskini, kwani kifungo hicho...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu, Pamoja na kuuona ugumu katika kutafuta nafasi ya Tutorial Assistant upande wa Kiswahili/Kiingereza, Bado nina nia na malengo ya dhati ya kuwa mwanataaluma mbobezi wa ama Kiswahili au...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Funguo za mlango wa maisha yako ni MUNGU na wewe mwenyewe ...Usikubali kuomba msaada haraka kwa watu kabla huja jaribu na kushindwa ...kusaidiwa kila jambo bila wewe kuonyesha nia ya kufanya...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Hongereni kwa kuchaguliwa "The White University" Nawashauri hivi:- 1. Yapo makampuni ya mabasi yatawataka mlipe pesa benki ili yawasafirishe hadi UDOM- Kataa kwani watakupiga hela halafu safari...
4 Reactions
627 Replies
98K Views
Habari za weekend ndugu. Nahitaji kurisit mtihani wa kidato cha sita mwaka 2019 na nilishamaliza mwaka 2016 with division 3 point 15, ushauri wenu ni kujua. Je itanisaidia mimi kupata mkopo...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
SCIENCE AND MATHEMATICS Hili ni swali nililojiuliza mara nyingi sana, nimeitathimini kazi ya uwalimu hasa sule za sekondary hapa nchini na mazingira ya ufundishaji kwa ujumla wake. Hayo tuyaache...
0 Reactions
3 Replies
962 Views
Wale wanosaoma diploma in distance education wa chuo kikuu huria Tanzania tuunde group la wasap ili kushare materials na mambo mengine ya kitaaluma
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ukipita njiani utakuta kuna barabara zinajengwa na watu kutoka mataifa mbalimbali, hasahasa toka uchinaa na Japan. Kwenye miradi hii utawakuta watanzania wawili watatu wenye degree, wengine...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
kama kichwa kinavyosema nimedahiliwa udom "bachelor of Software Engineering " pamoja na ARDHI "bachelor of science in Geomatics " jamani niende ipi apo chondechonde naomba ushauri wako ndugu yangu
0 Reactions
10 Replies
1K Views
"My name is Sir Chichi, I will be with you in English and History. I need your cooperation, thenk yuu pwaa pwaaaaa." (makofi) Najua ndo nakoelekea huko! usinishangae!! sijapenda kuanza mazoezi ya...
5 Reactions
56 Replies
10K Views
Habari za weekend wakuu, Kwa walimu walioajiriwa mwaka 2012,2013 kuna aliyepata barua ya kupandishwa daraja? Asante.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu kati ya BBA (Bachelor in Business Administration) MWENGE UNIVERSITY na Bachelor of science in taxation IFM ipi ni sawa, bora na marketable kwa usawa huu.
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Karibun chuo cha maji kama una swali Lolote uliza
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom