Habarini wanajf
Naomba kufahamishwa chuo kinachotoa mafunzo ya udereva wa mitambo kama Caterpillar, Greda, kijiko nk. Ninapenda kujua vyuo, mahali vilipo, jina la course pia na gharama kama...
Waungwana kwa waliosoma lute tukutane hapa tukumbushane mambo ya kipwela,kala,ngopyolo ushirika na tukuyu kwa ujumla,leo nimeikumbuka ghafla shule yangu iliyonitoa ujinga enzi za kina V.Minga,mama...
Licha ya pilika nyingi na utafutaji wa kimaisha kuniweka busy nimeshauri halmashauri yangu ya kichwa kurudi katika ulingo wa kusoma tena, ili shughuli zangu za kimaisha ziende na huku ninasoma...
Serikali kupitia Wizara ya elimu, imewataka wanafunzi wote wa elimu ya juu ambao hawajapata mikopo wachangamkie fursa ya kukata rufaa iliyotolewa na bodi ya mikopo kuanzaia jana, Jumatatu, Novemba...
Yaelekea bodi imefungua dirisha hilo kimyakimya bila Tangazo lao katika website yao.
Kwa waliokosa mkopo ukiingia katika akaunti zenu pale chini wameweka sehemu ya kukata rufaa(Appeal now). Ila...
Lile agizo la jana la spika wa bunge kuitaka serikali kuja na kauli juu ya hatima ya wanafunzi wengi kukosa mikopo na wengne kutakiwa kulipa kwanza ndo wasajiliwe.
Mwenye taarifa tafadhali.
Hoja ya msingi ya spika iliyokuwa inataka majibu ya serikali ni hii hapa:
Vyuo vyote vinadai malipo mengine kabla ya kusajiliwa na ambayo hayapo kwenye boom. Malipo haya ambayo ni lazima...
TAARIFA KWA UMMA
Kufuatia TAARIFA zinazosambaa kwenye Mitandao ya kijamii kama jamiiforum na mengineyo. Wizara Ya MIKOPO TuMaSo inapenda kuutangazia UMMA wa WanaTuMa na jamii kwa ujumla UKWELI wa...
Wanafunzi mwaka wa pili na wa tatu katika chuo cha TUNAINI UNIVERSITY MAKUMIRA bado hawajapata stahiki zao za chakula na malazi pamoja na kwamba kuna baadhi ya vitivo vimeshasain tangu ijumaa...
Tuliposema tunasaidia elimu ya sekondari BURE tuliwaaminisha wazazi kuwa ni masikini hawawezi changia hiyo elf.20 kwa mwaka tukasema ELIMU BURE.
Huyu aliyesoma bure kwa umaskini wake akifika chuo...
Hivi ni kwa nini wale lecturers waliobahatika kusoma postgraduate studies zao nje ya Tanzania wanakuaga watu waelewa sana. Yaani utakuta kwenye test au UE analeta vile vitu amefundisha.Na hata...
Ndugu JF members poleni na majukumu.mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika chuo cha Sebastian kolowa Memorial university nasoma bachelor of education special needs upande wa hearing...
Inaelezwa kuwa kiwango cha ushiriki wa wananchi katika shughuli za jamii hasa za kiutawala nchini Tanzania kiko chini na bado kinashuka, jambo ambalo linaathiri utolewaji wa maamuzi yanayohusu...
Habari zenu wanajukwaa ..?? Napenda kuuliza kama kuna Diploma holder yoyote aliyejiunga na Bachelor kwa upande wa afya kapata mkopo mwaka huu maana naona kama tumekosa na kutengwa mwaka huu. Mimi...
WANAFUNZI WENGINE 1,775 WA MWAKA WA KWANZA WAPATA MIKOPO
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo imetangaza orodha ya Awamu ya Nne yenye wanafunzi 1,775 wa Mwaka wa Kwanza...
Samahani naomba kuuliza kwa anaejua je mtu anaesoma course tajwa hapo juu anaweza kuajiriwa na serikali kama mwalimu kama mwalimu mwingine na je fursa zingine za ajira kwenye course hiyo ni zipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.