Habari za weekend wanajamvi. Kama mada inavyojieleza naomba ufafanuzi wa kina juu ya nadharia zifutazo za sintaksia:_
1.Nadharia ya ukuu na umiliki (government & binding theory).
2.Nadharia ya...
Nilihtaji kwenda chuo cha hombolo kusomea social development na kwa sasa nmeshachelewa, kwako wazo langu jipya nichukue certificate ya record management chuo cha mwalim nyerere alaf nkipata hiyo...
Najua wengi wetu tuna expirience kubwa na tunakumbukumbu za ajabu na za kuchekesha sanaa, wakati tunaelekea kufanya mitihani ya form four enzi zile, siku za kabla ya mitihani, wakati wa mitihani...
Wanajamvi, naomba kuuliza, hivi kupima au kujua Chuo kuwa ni bora kielimu au pagumu tunatumia kigezo cha idadi ya wanafunzi wanaokuwa discontinued kutokana na academic performance au kinatumika...
Wakuu naomba kujuzwa ,mimi nataka kufahamu iwapo mtu umehitimu form IV na matokeo yako yanakuruhusu kwenda Advance na ukaaamua usiende advance na uende chuo ,jee Unaweza / unaruhusiwa kuanza...
Kufuatia kauli ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Joyce Ndalichako aliwa Bungeni leo na baadae Wizara kutoa tamko rasmi kuwa haiitambui taasis ya Tanzania Social Support Foundation (TSSF)...
Hey, habari zenu ndg zangu, sorry naomba msaada kwa hili.
Nimesoma nurse midwives (enrolled nurse) na nataka niingie JKT, sasa tatzo vyeti vyangu bado viko chuoni nadaiwa wakuu vya utaalamu...
Naomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia sehemu ambayo naweza kupata ufafanuzi wa jinsi ya kusoma Masomo ya CERTIFIED FRAUD EXAMINE(CFE) afanye hivyo.Kwa kweli nina uhitaji mkubwa sana na habari...
Habarini wana jf! naomba kujua ni jinsi gani naapply kwa mikopo ya tssf, nimengi yamezungumzwa ila nimeamua kuchukua hii risk, tafadhari anaomba msaada wa jinsi ya kuapply maana mfumo huu ni mpya...
Kumradhi wanajamvi naomba msaada wa kimaelezo kuhusu shule hii has kwa upande wa nursery & primary.
Naomba kujua Ada yake kwa Boarding na kama wanafata mtaala wa NECTA au Cambridge,
Habari Wana Jamvi..
Uzi huu ni mahususi Kwa waombaji walioomba mkopo Toka bodi ya MIKOPO Kama Wanachuo wanaoendelea..
Bodi ya mikopo imetangaza batch kama Tatu na zote zilikua za waombaji...
Wakuu,
Ifike kipindi chuo kikuu cha Dar es salaam kikae chini, kijitathmini kuhusu ubora wake.
Kuna mambo/matukio mengine yanaweza kukipaisha chuo au kukishusha kwa kasi ya kimbunga. Tukio...
Wilaya ya Hanang’i iliyopo Kaskazini mwa Tanzania bado inakabiliwa na upungufu mkubwa wa vifaa vya maabara licha ya nguvu kubwa ya wananchi iliyotumika kujenga majengo ya maabara katika shule za...
Habari za asubuhi wadau wa elimu. Kama tujuavyo , walimu ni msingi mkuu wa maendeleo ya taifa lolote duniani. lakini katika taifa letu ualimu umekuwa ukionekana kama ni taaluma ya watu wanaotoka...
Wanajukwaa, naombeni kujuzwa na wenyeji wa hapa Dom napata wapi tuition nzuri kwa mtoto wa class four primary schools? Moderator wameedit heading
Nisaidieni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.