Wana JF wenzangu mimi niko mwaka wa tatu chuoni UDSM ninasoma BSc.Ed.Sasa kuna course moja ya Physics yenye cod PH 346(Kwa waliosoma UDSM watakuwa wanaifahamu) ila nadhani hata vyuo vingine...
Maisha ghali ya Dar es Salaam yanayohitaji kila kitu lazima ununue katika bei kubwa ukilinganisha na mkoa yanapelekea wanafunzi wengi kuishi maisha ya kimbwa mjini Dar.
Ukitaka kulithibitisha...
RUSSIAN GOVERNMENT SCHOLARSHIPS FOR TANZANIANS 2017/2018
Applications are invited from qualified Tanzanians for undergraduate and masters programme tenable in the Russian Federation for the year...
Habarai wana JF?
Kama kichwa kilivyo hapo juu taarifa yenyewe ni hii hapa chini.
HESLB YATOA MWONGOZO NA VIGEZO VYA UTOAJI MIKOPO KWA MWAKA 2017/2018
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu...
Jaman wadau kati ya course ya PHARMACY & FOOD NUTRITION AND DIETIES ipi bora zaidi kimaslahi na ukisoma food nutrition ajira zake zinakuwaje i mean utaajiriwa wapi ???
Watanzania ni wabinafsi sana... Hili suala la wanafunzi kukosa mikopo ya elimu ya juu ilipaswa kuwa mjadala wa kitaifa..., bahati mbaya watanzania wengi wanapenda 'umbea na porojo' sasa wanajadili...
Tulipo andamana walidaikwamba ijumaaa yaan Jana wangetoa majina mengine,mpaka sasa hawajatoa,[emoji40] [emoji40] [emoji40] masomo yameanza bila direct cost mwanafunz hawezi kupata registration...
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza mitihani ya upimaji wa wanafunzi wa kidato cha pili na darasa la nne.
Akitangaza mtihani huo leo Jumapili Novemba 12,2017 Katibu Mtendaji wa...
Nina mdogo wangu aliefanya mtihani wa form four mwaka jana na kupata alama zifuatazo B, C, D, D, D.
Yaani B-Kiswahili, C-English, D za history, civics na Geography.
Swali ni je! itawezekana...
Jaman msaada, eti bachelor of socialogy and social work ajira zake ni vipi? Na unakuwa nani baadae? Kuna jamaa yangu aliweka chaguo la mwisho kama wakamchagua MUCCOBS socialogy and social work...
Wakati hawa jamaa wanatuhamisha kutoka analojia kwenda Dijitali
Hawa jamaa (mamlaka zinazohusika waliwahi jinasibu kuwa chanel zote za ndani tutakuwa tunazipata hata kama hujalipia
Nilikuwa...
Kwa kweli natamani nikutane nabJerry muro nimpe ushauri wangu kuhusiana na kipindi chake kizuri sana cha usiku wa habari (Nadhani mnakikumbuka)
Kama kuna mtu anafahamiana naye amwambia kuwa kile...
Haya fursa Hiyo kwa wenye uhitaji, ila masharti yake yatakukimbiza kabla hata hujapata Maelezo. Huu ndio utapeli uliowazi, wanajinasibu kusaidiana watoto maskini lskini hakuna kitu, vijana wanalia...
Habar vijana wenzangu tuliofanya mtihani wa basic technician certificate NTA level 4 August 2016.. nina imani matokeo yetu yametolewa rasmi 3.february..2017.. na kwa bahati mbaya wengi wetu...
Najua unajua lakini napenda upate kujua zaidi!
Irabu tano za Kiswahili zina uwezo wa kutengeneza neno kamili pasi na matumizi ya consonant, maneno haya mf ua, oa, au. Kiswahili pekee kinakidhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.