Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kumekuwepo na 'slogan' nyingi zinazotumika katika kutanabaisha umuhimu wa Elimu kama vile: Elimu ni ukombozi! Elimu ni kazi! Elimu kwa maendeleo! Elimu ni juhudi na maarifa n.k. Hii yote inalenga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Habari wadau, Huwa natamani sana sana niwe nime register pia katika fani ya uhandisi.. Nimesajiliwa katika Bodi ya manunuzi,pia huwa napenda kusajiliwa ktk bodi ya uhandisi nipo viwandani sugar...
0 Reactions
79 Replies
10K Views
Names of candidates who have been approved and awarded a scholarship to study here in china from Tanzania for the said academic year, by CSC regards, for those comming to tianjin ...PM tafadhali...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hili ni kwenu vijana wa kitanzania wasomi wa vyuo vikuu. Vijana hamfahamu hata HAKI zenu za msingi yani hamjielewi, hamjitambui na mpo mpo tu kama juzi na jana vile. Mambo mengi ya hovyo...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Waraka wa Elimu namba 6, wa mwaka 2015 kuhusu utekelezaji wa Elimu ya Msingi Bila Malipo, ambao kwa mujibu wa waraka huo elimu msingi inaanzia Awali hadi kidato cha nne, umeanza kutekelezwa na...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Kuna hii kozi nimeiona amechaguliwa mdogo wangu inaitwa IR's (INTERNATIONAL RELATIONS AND DIPLOMACY) Kwa anaeijua inahusu nn zaidi na vipi kuhusu ktk ushndn na kozi zngne ktk soko la ajira na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kutanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu kwa kuweza kunipa pumzi ya uhai mpaka dakika hii, kuna waliotamani kuiona siku ya leo ila kwa neema yake wametangulia mbele za haki. Napenda...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Wapendwa, Nina shida nanyi,kama hamtojali naona mjongee hapa. Karibuni sana.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Licha ya Mtaala wa elimu kubainisha mambo ya msingi ya kuweza kufanikisha elimu ya awali, lakini serikali haitoi ruzuku kwa wanafunzi wa elimu hiyo ili kugharamia mahitaji yao wawapo shuleni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
THE UNIVERSITY OF DODOMA HUMANITIES SCHOLARSHIP The University of Dodoma (UDOM) wishes to announce the call for application for The University of Dodoma Humanities Scholarship for undergraduate...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada wanajamvi nawezaje kuapply kozi za diploma za afya nimeona available slot kwenye website ya nacte lakini hakuna maelekezo yoyote
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanaforum naomba kuuliza kwa waliokosa mkopo awamu ya pili, je kuna awamu nyingine au ndo basi tena?
1 Reactions
47 Replies
11K Views
Habari wadau mimi nimechaguliwa kujiunga na chuo pale IFM certificate first year 2017/2018 lakini bado sijaripoti wala sijafanya usajili mpaka sasa na hii ni wiki ya pili tangu chuo kifunguliwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wanajamvi natamani kuongeza maarifa kichwani mwangu kwa kusoma vitabu natamani nikiwa naongea na watu bac nitoe mifano kupitia vitabu.. Hv ni vitabu gan visivyo chosha kusoma yawezekana...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wakusanyika ofisi za bodi ya mikopo kushinikiza wapewe mkopo kwakuwa wana sifa zinazostaili kupewa mkopo. Swali la kujiuliza, mbona tumeaminishwa kuwa hakuna mwanafunzi...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu zangu kuna jambo linashanganza sana katika elimu. Tutasingizia walimu lakini matatizo ya elimu yameanzia juu kabisa. Kwa kawaida kitabu kinapoandikwa hukaguliwa kabla ya kwenda katika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwanza nipende kuwapongeza wanafunzi wote mliochaguliwa UDSM, na pia niwape pole kwa changamoto za ugeni na 'jokes' kutoka wanafunzi wazoefu Dhumuni la kuandaa uzi huu ni kuwataka mjitafakari na...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, msaada tafadharii...!
0 Reactions
5 Replies
826 Views
Kupiga paper LA Qt LA advance kati ya cbg na PCB IPI iko poa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kusaidiwa jamani pesa ambayo inaingia kwenye account ya chuo ni ipi na pesa ya kujikimu ni ipi kutoka kwenye ule mgawanyo (loan breakdown wa Heslb)........!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom