Jaman wanaJF hivi kuna ukweli wowote kuhusu wanafunzi waliopata mkopo 3rd batch mbona karibu wote wamepewa meals&accommodation tu NA ada hatujalipiwa Mimi nakaribia kukata tamaa ya kusoma jaman...
Nipo njia panda wadau, nafanyaje hapo nilikua kwenye multiple selection, second around (nilichaguliwa chuo zaidi ya kimoja) mimi nilicomfirm UDOM na mpaka admission letter wakanitumia...
Habari zenu wakuu!!
Nina mdogo wangu yupo kidato cha nne na ana mpango wa kwenda technical college na sio form five sasa naombeni mnipe orodha ya vyuo vya ufundi vya serikali vinavyowachukua...
Kuna maneno maneno huku wengine wanasema ni Bora waombe kurusha mwaka ili wasome mwaka ujao watafute ada kwanza,
Kama ni kweli mkopo wa 27,000 na 8000 unamsaidia nini Mwanafunzi? naomba ufafanuzi
Anayefahamu muongozo wa mitihani ya wizara(NACTE) katika hiyo koz je ipo kwa kila level yaani cmt04,cmt05,cmt06 au ipo vip hiyo
Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
Habari wakuu.
Nimejaribu mara kadhaa kuingia kwenye website ya chuo kikuu cha Dar es Salaam nakutana na haya maneno.
Aneejuana nao awaambie ili watu tupate taarifa tunazozitaka.
Vurugu katika udahili uliotokana na multiple selections wa kulaumiwa ni heslb. Vyuo vimecheza rafu mbele ya refarii TCU aliyegeuka kuwa mtazamaji!
Vyuo vimekuwa vikiwang'ang'ania wanafunzi kwa...
Ndugu wana JF naomba msaada nifanye nini nimepata mkopo! ila cha kushangaza mkopo wanaonesha unaenda chuo cha MWENGE CATHOLIC wakati mimi nilichaguliwa UDOM na tayari nimeripoti nifanyeje?? msaada
Awam ya 1&2 sikupata mkopo
Lakin awamu ya 3 jina langu lipo kwenye list lakini cha kushangaza nikiingia kwenye account yangu nakutana na maandishi yaliyo kati ya mstari mwekundu yanadai
"The loan...
Salaam wakuu,
Naombeni kuuliza hiv kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo nikimaanisha mwaka wa 2 na 3 majina yao ya mkopo huwa yanatoka kwa batch pia?? Yan kwamba unaweza kuwa continuos student...
Wasalaam wanajukwaa
Tafadhali sana naomba kujua na kufahamishwa kuhusu tarehe ya mwisho katika kuripoti na kufanya registration kwenye vyuo mbalimbali hapa nchini hasa katika vyuo vya serikali...
Shirika la Tanzania social support foundation (tssf), linawatangazia wale wote waliokosa mikopo inayotolewa na hesbl kuwa, wanayo nafasi sasa ya kuomba mikopo kupitia shirika hili, walengwa ni...
Yaani ukikutana na graduate WA udsm WA sasa anazidiwa na mhitimu diploma. Akishamaliza kujisifia kuwa nimesoma udsm vingine hasa uwezo WA kupambanua mambo professionally utawasikitia maskini ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.