Wakuu habari!
Kuna scholarship 10 ambazo ni full funding nimekuwekea. Ingia International Scholarships, Scholarships for Developing Countries, Scholarships for African, Jobs (Nafasi za kazi) and...
Husika na kichwa hapo juu,kuna taarifa yeyote muhimu iliyotelewa tangu jumatatu hadi leo jumatano kwa wale waliohudhuria orientation week plz naomba niwe napata taarifa kutoka kwenu ndani ya hii...
Habarini wanajamvi,
Bila kupoteza wakti niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Baada ya harakati za kuomba ufadhili wa ada kwa masomo ya diploma pale DIT kugonga Mwamba sasa nawaza kwenda...
Nakumbuka namna namna nivyokuwa na hamu ya kufika chuo kikuu. Namna nivyosikia simulizi za kuvutia juu ya maisha mazuri yaliyojaa anasa na starehe wanayoishi wanachuo.
Hakika nilitamani na...
Husika na kichwa hapo juu,kuna taharifa yeyote muhimu iliyotelewa tangu jumatatu hadi leo jumatano kwa wale waliohudhuria orientation week plz naomba niwe napata information kutoka kwenu ndani ya...
Zipo mbinu nyingi sana za kufuta au kupunguza kuzungumza au kuandika broken English. Ni vizuri kutoa mbinu kulingana na broken husika.
Hivyo, andika au uliza kwa Kiingereza ili tuangalie broken...
Poleni sana vijana wetu, hii serikali ya wanyonge,tutafika tuu msikate tamaa. Kinauchonipa shida sana ni pale kuona vijana walikua busy na application za mikopo kwa kubangaiza iliwafanikiwe...
Nilichaguliwa first selection ya form 5 mchepuo wa PCB Mwaka huu, lakini nikaumwa sana sikuweza kwenda hivi naongea nipo nyumbani tu, swali langu je nikiomba shule mwakani naweza pata nafasi kwa...
Habari za wakati wakuu..
Nimechaguliwa chuo cha Ardhi kozi ya Urban and Regional planning lakini nina mpango wa kubadili kozi nikifika chuo nichukue Architecture au Quantity Survey au Land...
Kwa mshangao mkubwa nimeona vyuo vikuu vikicheza rafu na kusababisha maumivu makubwa kwa wanafunzi. Nina uhakika na rafu hizo. Kuna jamaa Yangu alikuwa amechaguliwa vyuo vinne, na akaamua...
Naomba kujulishwa kwa anaefahamu chuo kinachotoa diploma za clinical medicine na pharmacy kipo kigamboni anijulishe na bado kinapokea wanafunzi!
Asante
Habari za wakati wana jf natafuta wanafunzi wa advance mchepuo wa EGM mkoa wa mwanza wanao kaa Day's tuwasiliane watsap no 07-58494651 au hata mwalimu pia wa masomo hayo
Wakuu hatimaye nimefaulu kujiunga kidato cha tano kwa kupata division one ya point 10
Matokeo yangu ni kama ifuatavyo
Phys =B
Chem =A
Maths=A
Bios=A
Geog=D
Eng=C
Kisw=B
Hist=A
Civ=C...
Licha ya serikali kuendelea na jitihada za kupunguza tatizo la uhaba wa walimu katika shule za msingi, bado walimu waliopo katika baadhi ya shule za msingi wanalazimika kufundisha masomo ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.